ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,030
- 3,908
Habari za wakati huu;
Madam President,Hongera na Pole kwa Kazi. Najua unajua kwamba wapo watu ambao kazi yao ni kuhakikisha kwamba unafeli.Pia wako watu ambao wanataka nchi yetu ifaulu hata kama wewe utafeli ila hakuna watu wanaotaka wewe ufaulu so Usijisahau katika.hakuna anayetaka ufaulu katika URAIS wako.SIO wasaidizi wako binafsi,wala sio katibu mkuu kiongozi wala sio wateule wowote wale.
Hapo ulipo umezungukwa na watu ambao wanataka wewe ushindwe. Katika hao kuna ambao wanataka nchi ifanikiwe hata kama wewe utshindwa hawajali.Ila hakuna wanaotaka wewe ufanikiwe.JUA hilo na usilisahau.
Mama Samia,Sijui kama tayari una taarifa ila nzi tayari washakuzunguka na sasa wanacheza na akili yako. Kila unachofanya sasa hivi kama ni mtu kakwambia ufanye basi ujue kwamba tayari umezidiwa kete and you are not running the state but the state is running you. Usituchukulie POA sisi tunaoandika utopolo wetu ukafikiri ni njaa tu zinatusumbua hapana,Tunasoma matukio na kauli za watu na tunajua soon wataanza kukupeleka Mchaka Mchaka.Watakupelekesha mpaka utajuta kuwa RAIS hasa endapo hautashtuka mapema na kuwapiga PINI.
Najua unaweza hata usiuone huu uzi ila najua hao jamaa zako wanaokuchezea mchezo wanaona na watausoma kwa sababu daima wako mtandaoni na mitaani kufuatilia na kuweka mikakatu huku wewe ukiwa hujui.Hujui kwa sababu huna mtandao.Huna taarifa ila najua unayo maarifa tena maarifa makubwa sana.
Nimeangalia TEUZI zako wewe hujui ila mimi nimeona kwamba TEUZI zako ni return of favor, Ndio hao ni watu ambao ingawa unasema huwajui ila kwa kiasi una rudisha fadhila. Ni watu ambao wewe hujui kwamba lengo lao sio kukusaidia wewe ili ufanikiwe bali wengine wana maslahi yao na wengine ni NZI tu.
Najua unataka nitoe ushauri.Ushauri wangu ni huu.Umeshachelewa,Uliwapa Nafasi ya kujipanga na kuwapangua haitakuwa ni KAZI Rahisi.Itahitaji ufanye sacrifce kubwa na kutake RISK kubwa sana.Wewe ni RAIS.Unao uwezo wa kutoa matamko na yakawa sheria.TOA matamko matatu ambayo utayafanya yawe sheria.Haya yatakusaidia kujilinda dhidi ya hujuma kadhaa ambazo tayari zinasukwa kwa ajili yako.Usishangae ukaletewa hadi majini ya watu ambao wameshakufa uwape TEUZI.Mark my words.Mchezo umeshanoga na sasa unaimbishwa,Usikubali kuimba na kucheza NGOMMA yao ya kifidhuli.
Usichukulie POA haya maneno yangu hata kama ni ya KISELA.Kuna watu watayaelewa na kuna siku hata wewe utayaelewa.Jiwekee kinga ya kisheria ile ni vigumu watu kupitisha majina yako.Kwa mfano.TUNGA SHERIA KWAMBA RAIS akitangaza TEUZI kuwa na nafasi ya SEVEN DAYS za kupokea Mapingamizi.Unda kamati ya kupokea Mapingamizi na Mteuliwa apewa Nafasi ya kujibu Mapingamizi.
Narudia Tena haka kanafasi katakupa wewe nafasi ya kukwepa AIBU ya kuletewa watu wasiokuwa na ADABU wakuzunguke.
Kuna mengi ya kukwambia ila hilo naona ni la muhimu kama unahitaji mengine siku nyingine.
STAY WARNED
Madam President,Hongera na Pole kwa Kazi. Najua unajua kwamba wapo watu ambao kazi yao ni kuhakikisha kwamba unafeli.Pia wako watu ambao wanataka nchi yetu ifaulu hata kama wewe utafeli ila hakuna watu wanaotaka wewe ufaulu so Usijisahau katika.hakuna anayetaka ufaulu katika URAIS wako.SIO wasaidizi wako binafsi,wala sio katibu mkuu kiongozi wala sio wateule wowote wale.
Hapo ulipo umezungukwa na watu ambao wanataka wewe ushindwe. Katika hao kuna ambao wanataka nchi ifanikiwe hata kama wewe utshindwa hawajali.Ila hakuna wanaotaka wewe ufanikiwe.JUA hilo na usilisahau.
Mama Samia,Sijui kama tayari una taarifa ila nzi tayari washakuzunguka na sasa wanacheza na akili yako. Kila unachofanya sasa hivi kama ni mtu kakwambia ufanye basi ujue kwamba tayari umezidiwa kete and you are not running the state but the state is running you. Usituchukulie POA sisi tunaoandika utopolo wetu ukafikiri ni njaa tu zinatusumbua hapana,Tunasoma matukio na kauli za watu na tunajua soon wataanza kukupeleka Mchaka Mchaka.Watakupelekesha mpaka utajuta kuwa RAIS hasa endapo hautashtuka mapema na kuwapiga PINI.
Najua unaweza hata usiuone huu uzi ila najua hao jamaa zako wanaokuchezea mchezo wanaona na watausoma kwa sababu daima wako mtandaoni na mitaani kufuatilia na kuweka mikakatu huku wewe ukiwa hujui.Hujui kwa sababu huna mtandao.Huna taarifa ila najua unayo maarifa tena maarifa makubwa sana.
Nimeangalia TEUZI zako wewe hujui ila mimi nimeona kwamba TEUZI zako ni return of favor, Ndio hao ni watu ambao ingawa unasema huwajui ila kwa kiasi una rudisha fadhila. Ni watu ambao wewe hujui kwamba lengo lao sio kukusaidia wewe ili ufanikiwe bali wengine wana maslahi yao na wengine ni NZI tu.
Najua unataka nitoe ushauri.Ushauri wangu ni huu.Umeshachelewa,Uliwapa Nafasi ya kujipanga na kuwapangua haitakuwa ni KAZI Rahisi.Itahitaji ufanye sacrifce kubwa na kutake RISK kubwa sana.Wewe ni RAIS.Unao uwezo wa kutoa matamko na yakawa sheria.TOA matamko matatu ambayo utayafanya yawe sheria.Haya yatakusaidia kujilinda dhidi ya hujuma kadhaa ambazo tayari zinasukwa kwa ajili yako.Usishangae ukaletewa hadi majini ya watu ambao wameshakufa uwape TEUZI.Mark my words.Mchezo umeshanoga na sasa unaimbishwa,Usikubali kuimba na kucheza NGOMMA yao ya kifidhuli.
Usichukulie POA haya maneno yangu hata kama ni ya KISELA.Kuna watu watayaelewa na kuna siku hata wewe utayaelewa.Jiwekee kinga ya kisheria ile ni vigumu watu kupitisha majina yako.Kwa mfano.TUNGA SHERIA KWAMBA RAIS akitangaza TEUZI kuwa na nafasi ya SEVEN DAYS za kupokea Mapingamizi.Unda kamati ya kupokea Mapingamizi na Mteuliwa apewa Nafasi ya kujibu Mapingamizi.
Narudia Tena haka kanafasi katakupa wewe nafasi ya kukwepa AIBU ya kuletewa watu wasiokuwa na ADABU wakuzunguke.
Kuna mengi ya kukwambia ila hilo naona ni la muhimu kama unahitaji mengine siku nyingine.
STAY WARNED