Katika hali isiyotarajiwa, ule mkutano wa Rais na wazee-ccm Daressalaam umehairishwa baada ya Rais kumua kukutana na uongozi wa Madaktari sasa hivi. Kwa wenye busara zao,hiki ndo tulikitarajia kwa mkuu wa nchi na wala si kuleta propaganda za Pinda. Source: Radio claudz Fm.