'Madaktari wanaotoa mimba wanafunzi wafukuzwe kazi'

singidadodoma

JF-Expert Member
Nov 11, 2013
4,394
1,531
12522981_1019623328102125_6921776452074363687_n.jpg
 
Apo ni kama unazuwia mafuriko kwa kuziba mifereji wkt hujui maji yanatoka wapi.
Nenda kwenye chanzo tu
 
Siku hizi mimba hazitolewi hospitali,zinaishia pharmacy tu.Kuna dawa kibao zipo pale na zinatolewa bila prescription mabinti wanazitumia
 
Hili linapaswa kutungiwa sheria ama kuwekewa miongozi nyoofu....

Kuna madaktari wanaotoa mimba baada ya huko mitaani kuharibu ...sasa hawa ni lazima sheria iwalinde.......

Hata watolewaji mimba ni lazima waadhibiwe pia...

Vidonge vya misoprostol viondolewe madukani na vibakie kuwa prescription only medicine tuachane na mawazo haramu ya taasisi ya marie stopes.
 
Hili linapaswa kutungiwa sheria ama kuwekewa miongozi nyoofu....

Kuna madaktari wanaotoa mimba baada ya huko mitaani kuharibu ...sasa hawa ni lazima sheria iwalinde.......

Hata watolewaji mimba ni lazima waadhibiwe pia...

Vidonge vya misoprostol viondolewe madukani na vibakie kuwa prescription only medicine tuachane na mawazo haramu ya taasisi ya marie stopes.


Sio Misoprostol tu...Arbotifacient zote ziwe POM na hao attendants wa madukani wasizitoe hovyo..Ingawa sio rahisi kwa sababu wao wanafanya biashara lakini hii ni challenge kwa mamlaka husika
 
Back
Top Bottom