Madaktari wa mhn walipwa posho zao

Madaktari wa mhn walipwa posho zao

DOOKY

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
370
Reaction score
50
Hatimaye madaktari wa mafunzo wa Hospitali ya Muhimbili na sehemu nyingine wamelipwa pesa zao jioni hii.

Taarifa hii ni kwa Mujibu wa Mwenyekiti wa Madaktari hao, akiongea nami,
 
ushauri wa bure kwa serikali;futeni hizo taratibu na michakato coz imedhihriika wazi kuwa haina faida maana imefikia hatua mbaya mpaka katika uhai wa watanzania mahospitalini mnasema ni taratibu serikali na kesho CAG akipita tunasikia mabilioni ya hela yamepotea na maelezo hamna!!!hongereni madaktari na chama chenu kwa msimamo wenu kwa ujumla na bado inabidi mishahara ya madaktari ifanyiwe review.
 
Bila mgomo haupewi chako kudadeki hii nchi hii...
 
Ni MNH ( Muhimbili National Hospital ) sio mhn.
 
Walimu kazeni buti nanyi chenu mtapewa tu. Nawaombea kieleweke maana hali yenu ni mbaya sana kuliko mfanyakazi yeyote yule wa umma dah poleni sana.
 
Walimu hawawezi goma kwa sababu wanawauzia wanafunzi maandazi
 
Walimu wanapata cha juu kikubwa kuliko mishahara wanauza ubuyu,ice cream,maandazi,vitumbua tena wanauza kwa nguvu kama huna pesa unakopeshwa!!!
 
Back
Top Bottom