Mizizi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,275
- 391
Madaktari hapa wilayani Mafia wameingia kwenye mgomo mpya kuanzia leo asubuhi. "Total tools down" hiyo inaendelea hadi mda huu na kuathiri huduma za afya kwa wagonjwa ambao wanategemea kupata huduma kutoka hospitali hiyo pekee wilayani hapa.
Hivi sasa magari ya hospitali hiyo zinasomba madaktari kuwapeleka kwa ofisi ya DT kudai malipo yao ambayo ndio sababu ya mgomo wao huo mpya!
Mgomo huo umeathiri vibaya huduma kwa wagonjwa wengi waliofika kwenye hospitali hiyo ambayo ndio tegemeo pekee kwa kisiwa kizima cha mafia!
Hivi sasa magari ya hospitali hiyo zinasomba madaktari kuwapeleka kwa ofisi ya DT kudai malipo yao ambayo ndio sababu ya mgomo wao huo mpya!
Mgomo huo umeathiri vibaya huduma kwa wagonjwa wengi waliofika kwenye hospitali hiyo ambayo ndio tegemeo pekee kwa kisiwa kizima cha mafia!