'Madaktari gomeni,weken vifaa chini'-kigwangala

Ninyi watu wanafiki na waongo wakubwa,badala ya kujadili hoja ya msingi mnamjadili mtu utadhani swala la Afya halikugusi au kuwagusu ndugu zako kwa namna moja ama nyingine.
Hv watanzania tutaendelea kuwa waoga mpaka lini,Dr kigwangala aliongea kama daktari pale siyo kama mbunge na hakusema watu wagome alitoa mawazo yake kama mhusika wa fani kuendelea na vikao mpaka serikali itakapokuja kuonana na madaktari. Deep in ur heart fikiria huduma uliyowahi kupewa kwenye hospitali ya serikali kama uliridhika siyo unaongea kama vile hujawahi kutumia huduma hiyo.
 

kumbe ni kama yule msanii DR,MH,ALHAJ..............!!!Lol
 
Tatizo la watanzania hawaeleweki,Ni kama bendera fuata upepo.Maandamano ni haki ya msingi ya kikatiba.Labda niseme kuwa watu wengi wanadhani kuwa haki ya mtu inaombwa kama kipande cha mkate kwenye sahani.Haki siku zote inanyakuliwa na hasa kama imebakwa na wabaka haki za wananchi.Namuunga mkono mh.Kigwangala kwa madaktari wetu kugoma.Nchi isiyothamini wataalamu wake ni nchi dhalimu isiyoheshimu utu na thamani ya wanachi wake.Kwa kuwa nchi hii inaongozwa kidharura maandamano yatakuwa ni suluhisho la matatizo yao.Maandamano yakianza ndo serikali itakurupuka toka usingizini.Msirudi nyuma aluta continua,viva madaktari viva,viva Tanzania viva.
 
Huwa kuna ka-mchezo hapa Tanganyika...inawezekana kiongozi wa MAT anatafuta public attention baadae utamsikia huyo anagombea ubunge jimbo la Kigoma Kaskazini...hivi ili tufanyeje kumfahamu shujaa wakweli?
 
Huwa kuna ka-mchezo hapa Tanganyika...inawezekana kiongozi wa MAT anatafuta public attention baadae utamsikia huyo anagombea ubunge jimbo la Kigoma Kaskazini...hivi ili tufanyeje kumfahamu shujaa wakweli?

ntajie waliowah kutumia that method
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…