Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,605
- 1,958
Wadau
Timu ya madaktari Bingwa wa upasuaji kutoka Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili wamepiga kambi katika hospital ya rufaa Sokoine Lindi ili kupambana na kutokomeza ugonjwa wa Ngiri Kokoto na Ngiri Maji.
Jumla ya wagonjwa 165 tayari wamefanyiwa upasuaji na wataalamu hao.
Aksanteni.
Chanzo: ITV
Timu ya madaktari Bingwa wa upasuaji kutoka Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili wamepiga kambi katika hospital ya rufaa Sokoine Lindi ili kupambana na kutokomeza ugonjwa wa Ngiri Kokoto na Ngiri Maji.
Jumla ya wagonjwa 165 tayari wamefanyiwa upasuaji na wataalamu hao.
Aksanteni.
Chanzo: ITV