Madakitari waliojihusisha na mgomo uliotingisha nchi, wameitwa na kuhojiwa kisha wengine kupewa adhabu mbalimbali na wengine kufukuzwa kabisa.
Je, Dr. Ulimboka na viongozi wengine watapata adhabu gani???
Chanzo soma hapa:
Madaktari waliosimamishwa waadhibiwa
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Unataka Wasifutiwe vibali ili wakaendelee kuua wagonjwa?????????
waambieni chadema sasa wawasaidie c ndo walikuwa wanapa vichwa..kwisha habari zenu sheria nimsumeno..dr.ulimboka na wenzie wako kimya sahizi
Ungesema kwamba serikali ilioshindwa kuboresha sekta ya Afya kwa wananchi wake na kuendelea kuibemenda sekta hiyo Kwa kuwafukuza madaktari; HAWANA TOFAUTI NA WAUAJI! Yaani inatisha kwa serkali inayojidai iko makini kushindwa kuwashawishi na kuwaaminisha madaktari waendelee na kazi hata kwa mkopo? Leo unaona ni heri kufunika kombe mwendawazimu apite!Daktari anapogoma ni sawa na mzazi wako angegoma kukulisha alipokuzaa. HAWA HAWANA TOFAUTI NA MUUAJI YEYOTE
Attached - global ratio of physician /10000 population
Where o we stand?
Ungesema kwamba serikali ilioshindwa kuboresha sekta ya Afya kwa wananchi wake na kuendelea kuibemenda sekta hiyo Kwa kuwafukuza madaktari; HAWANA TOFAUTI NA WAUAJI! Yaani inatisha kwa serkali inayojidai iko makini kushindwa kuwashawishi na kuwaaminisha madaktari waendelee na kazi hata kwa mkopo? Leo unaona ni heri kufunika kombe mwendawazimu apite!