Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 7,020
- 13,655
Fafanua kidogo mkuuHayo makahaba nasikia ndio yanaweka ndoa za watu intact, bila makahaba ndoa nyingi zingekuwa hoi bin taaban.
Fafanua kidogo mkuuHayo makahaba nasikia ndio yanaweka ndoa za watu intact, bila makahaba ndoa nyingi zingekuwa hoi bin taaban.
SASA kero inaanzia pale Buguruni Sokoni nikishuka yani Kuna mijimama mikubwa hata wazazi wangu ni wadogo inajiuza Kwanza wachafu pili yananuka pombe Tatu Hawana hata vyumba Bali unalala chini ya banda unapata asali ya tabora huku wapita njia wanawazoom.
Yaani Mtoa mada ni mteja mzuri tu kutokana na maelezo yake hapo juu. Anakerwa tu na uchafu wa hao mama, kunuka pombe ma kupata asali ya Tabora chini ya banda huku wapita njia waki wazoom!aisee kumbe wangekua na room ungewatafuna.
Tangazo zuuri la biashara hili.Kila kuitwapo leo naamka saa kumi na moja asubuhi naenda kazini Magomeni ila nakaa Vingunguti kwakuwa usafiri mida ya usiku wa saa tano huwa ni mgumu kupata basi inanilazimu kupanda Gari za Buguruni then nikifika napata yanayopitia Vingunguti.
SASA kero inaanzia pale Buguruni Sokoni nikishuka yani Kuna mijimama mikubwa hata wazazi wangu ni wadogo inajiuza Kwanza wachafu pili yananuka pombe Tatu Hawana hata vyumba Bali unalala chini ya banda unapata asali ya tabora huku wapita njia wanawazoom.
SASA najiuliza hivi askari hawawaoni?
SASA najiuliza hivi hawa Wamama Enzi za ujana walikuwa wapi mpaka waanze ukahaba uzeeni
SASA najiuliza Hawana biashara NYINGINE zaidi ya ukahaba? Kwani mtaji wa mihogo ya kuchemsha ni Laki au million.
Nawapa masaa 24 muwe mumeondoka hapo Buguruni lasivyo kesho nakuja na jopo la vibaka ili mubakwe vizuri shenzi zenu.
Hayo makahaba nasikia ndio yanaweka ndoa za watu intact, bila makahaba ndoa nyingi zingekuwa hoi bin taaban.
Vituko haviishi nimecheka aiseeHahaaaa....jamiiforums Ina vituko
hao wakiona umri umeenda wanaanza kugawa na jichoKila kuitwapo leo naamka saa kumi na moja asubuhi naenda kazini Magomeni ila nakaa Vingunguti kwakuwa usafiri mida ya usiku wa saa tano huwa ni mgumu kupata basi inanilazimu kupanda Gari za Buguruni then nikifika napata yanayopitia Vingunguti.
SASA kero inaanzia pale Buguruni Sokoni nikishuka yani Kuna mijimama mikubwa hata wazazi wangu ni wadogo inajiuza Kwanza wachafu pili yananuka pombe Tatu Hawana hata vyumba Bali unalala chini ya banda unapata asali ya tabora huku wapita njia wanawazoom.
SASA najiuliza hivi askari hawawaoni?
SASA najiuliza hivi hawa Wamama Enzi za ujana walikuwa wapi mpaka waanze ukahaba uzeeni
SASA najiuliza Hawana biashara NYINGINE zaidi ya ukahaba? Kwani mtaji wa mihogo ya kuchemsha ni Laki au million.
Nawapa masaa 24 muwe mumeondoka hapo Buguruni lasivyo kesho nakuja na jopo la vibaka ili mubakwe vizuri shenzi zenu.
How?Hayo makahaba nasikia ndio yanaweka ndoa za watu intact, bila makahaba ndoa nyingi zingekuwa hoi bin taaban.