Madada na Vitambi vya bia za OFA.

Madada na Vitambi vya bia za OFA.

notifeki

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2013
Posts
402
Reaction score
283
Siku hizi kuna idadi kubwa sana ya madada wenye vitambi (siyo mimba).Ni bia za OFA hizo. Asilimia kubwa ya madada hawa ni hatari kwa kupenda OFA za bia.
Aisee wanakunywa bia haoooo....che che che che!
Usiombe ukutane nao baa wanamaliza kreti aisee.

Yaani hamna janamke linalinikera kama lenye kitambi cha bia za ofa.
Yaani ukiliona liepuke.
 
jamani kila mwanamke mwenye kitambi ni bia za ofa? haujui kuwa wengine wamezaa ndo mana matumbo yako hvyo mana hawayakuyafanyia kazi tangia mwanzo.
 
Ahaahahahaahhhahaaaaa, halafu wanaongea hao dah! we neno moja wenzio maneno 3000 ili tu raundi iendelee.
 
Ladyfuraha come this way, somo limeeleweka.
 
Last edited by a moderator:
mh!wanawake
mbona tutakoma
mwaka huu!mi ninacho
cha asili sio cha gambe!

 
Bongo kuna vitambi kitu wanawake wa zambia balaa ila wanakwambia ni castle lager!kuzaa hatukatai tumbo linarepeta sana ila jamani pombe sana unakuta mwanamke anakitambi kama tikiti maji halafu wanaozungumziwa hapa wanavitambi vya bia na mchemsho na wanakwenda monde kabla ya hapo wanagonga blue band na kutafuna tishu ili wakutie hasara...unakuta wana wimbo wao wakishakunywea unasikia hvi"kama ni gangsta au sharobaro ongea yani hapo ushaliwa na mzigo hupati
 
Wengine wana vitumbo vinavyosababishwa na uvaaji wa suruali za kubana zisizolingana na umbile la mvaaji.
 
kwa wakina mama/ wadada kuwa na vitambi hata haipendezi please do something acheni uvivu matumbo makubwa hayawapendezi bwana , mnakuwa wabayaaaaa, take care for yourselves, :nono:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom