Madada msidhan wanaume hatuna majukumu

Kuna women waliojianika hadharani wakijiuza,kuna ambao wapo makwao au wameolewa still wanafanya underground commercial sex wengine wana kazi ila hawaridhiki they thnk kuwa na men ni ajira binafsi mie huwa nacheka2!
 

umeua!
A nail right on their lazy heads!
 
Yani wakaka wa siku hizi pesa kumpa mwanamke mmeona dhambi kweli muhudumie mpenzio sio ukiona vimependeza ndio wasifia, halafu tatizo wengi wenu mnatongoza kwa pesa sasa nikikubali halafu baadae nikianza kukupa majukumu unakuja kulia lia JF
 
Ukishashtukia hili utamuvu kutoka stage hiyo ya mapenzi kwenda next... Mapenzi ni safari...
 
Usitokwe na povu bure. Ulipoamua kumgeuza MKE kabla haujamuoa ni nini? Umempa majukumu ya mke lazima umuhudumie. Vinginevyo kila mtu afanye yake. Period!
 
Umemjibu vizuri sana, inatakiwa uiingie mfukoni ujitoe hasa kama kweli ni mchumba wako na unaona kuna future,otherwise utahudumia wangapi?Upo sahihi wewe mtose tu
 
pole kwa kupigwa mizinga mkuu, siku nyingine upate akili kuna wanawake wasiohitaji hayo mafweza yako, wanataka mapenzi tu. wa kwangu kwa mfano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…