Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 49,734
- 89,337
Kila nikiangalia ule uzi ulivyonyonya "kisoda aka thumni" huwa nacheka sana mkuuπππππππ
Hivi kuhonga ni tabia, ni hobby ama ni ulevi? Maana kuna watu wasipohonga wanajisikia vibaya mno
Jr
1. Smoking weed like a Rasta.
2. Fncking hoes and poppin pills like a rock star.
3. Drinking like i'm in pool full of liquor.
Website pendwa kabisa Duniani.
Daaah!
Huyu Mwamba kanifikirisha sana!
Hii kitu inakufanya ujione UMEIPAKATA DUNIA na watu wake!
Yaani Trump na Putin unawaona km watoto flani wa Mzimuni Primary School!
Sent using Jamii Forums mobile app
π€§π€§π€§π€
Yaani hapo unajipa usemaji wa Mambo ya Mbinguni yoooteee!Full manyota!ππππbalimi + weed.. Pepo hii hapa ukiwa na sir God kabisa mnapanga mipango ya dunia
Jr
ama masela wa kitaa
Jr