Bishweko
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 4,280
- 2,980
Habari zenu ndugu zangu
Katika utaifa wetu wa Tanzania. Leo nataka tujaribu kuangalia mchakato wa uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi wa Oktoba mwaka huu.
Watanzania wanajiandaa kuwachagua wabunge,Rais na madiwani.
Lakini kabla ya uchaguzi kuna mambo mbali mbali mazuri na mabaya yanaendelea kutokea nchini mwetu. Bila shaka mambo hayo yanagusa moja kwa moja swala la uchaguzi. Hoja yangu ni JE,UCHAGUZI HUU
UNAWEZA KUKIZI VIWANGU VYA KUITWA UCHAGUZI HURU,WA HAKI NA WAZI?
Kama unaweza kukizi au kutoweza kukizi ni nini kifanyike ili uchaguzi wetu uweze kua wa maana kwa kila mtanzania.
KARIBU
Katika utaifa wetu wa Tanzania. Leo nataka tujaribu kuangalia mchakato wa uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi wa Oktoba mwaka huu.
Watanzania wanajiandaa kuwachagua wabunge,Rais na madiwani.
Lakini kabla ya uchaguzi kuna mambo mbali mbali mazuri na mabaya yanaendelea kutokea nchini mwetu. Bila shaka mambo hayo yanagusa moja kwa moja swala la uchaguzi. Hoja yangu ni JE,UCHAGUZI HUU
UNAWEZA KUKIZI VIWANGU VYA KUITWA UCHAGUZI HURU,WA HAKI NA WAZI?
Kama unaweza kukizi au kutoweza kukizi ni nini kifanyike ili uchaguzi wetu uweze kua wa maana kwa kila mtanzania.
KARIBU