Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
WanaJf kwa kadri upepo unavyovuma kwa kasi inawezekana upepo ukaelekea magogoni kwa mkuu wa nchi
Wiki iliyopita ililetwa tuhuma bila ushahidi na mwanaJF kwa Miraj na Salama Kikwete wamepata mgao
Kwa muda unavyoenda Magogoni wanatumia nguvu nyingi kuzuia haya majanga ya Escrow
Swali langu kwa wanaJf ni
Je ikigundurika kuwa Profesa ndio inginia wa hii makitu utafanyaje? Historia inasema Profesa aliingia magogoni kwa mgongo wa EPA REFER TO WIKIPEDIA Names people behind EPA Scam and was to finance Jakaya Kikwete Elections
Wiki iliyopita ililetwa tuhuma bila ushahidi na mwanaJF kwa Miraj na Salama Kikwete wamepata mgao
Kwa muda unavyoenda Magogoni wanatumia nguvu nyingi kuzuia haya majanga ya Escrow
Swali langu kwa wanaJf ni
Je ikigundurika kuwa Profesa ndio inginia wa hii makitu utafanyaje? Historia inasema Profesa aliingia magogoni kwa mgongo wa EPA REFER TO WIKIPEDIA Names people behind EPA Scam and was to finance Jakaya Kikwete Elections