Mada Moto channel 10: Nini matarajio ya watanzania kwa Serikali ya awamu ya Tano?

Geechie

JF-Expert Member
Oct 26, 2015
977
761
Mada: Nini matarajio ya watanzania kwa serikali ya awamu ya tano.

Yaonyesha Kilala alimmiss Polepole jinsi anavyotembea na vocal zake.

Polepole: Waliokwamisha katiba mpya wameshaondoka CCM

Hii sasa ni kali soma polepole.

Wakati Magufuli ameshatamka (siku alipozindua bunge) kuwa amepokea kiporo chamchakato wa katiba na ataendelea na hatua ya kura ya Maoni.

Na waziri Mwakyembe alinukuliwa na waandishi wa habari akisema katiba sio kipaumbele cha Magufuli kwa sasa, na wakati ukifika ataendelea na kura ya maoni.

Leo yule polepole amedai waliozuia katiba isipite wameshaondoka CCM hawapo,tena hivyo anaamini itapatikana katiba ya wananchi.

Ndo kusema wabunge wa CCM waliopitisha Rasimu ya katiba ya Warioba, mpaka usku wako vyama vya upinzani siyo?

Muda unaanza kuongea, hapa mbwembwe tu

Chanzo: Channel ten: Mada motto
 
Leo namwona polepole akirudi ktk ubora wake na akili yake ya zaman tofauti na akili ya uchaguzi katiba mpya ndio imemchomoa mafichoni sasa ni muda wa pole pole kuacha unafiki wa wakati wa uchaguzi na awaombe radhi watanzania
 
Mwisho kabisa atafanyiwa vitimbi kama vile alivyofanyiwa jaji warioba na ccm vya kufukuzwa nyumba ya serikali.
 
Huyo mji...nga alifikiri atapewa cheo?. Magufuli anaangalia uwezo na sio sifa....

Hata UDC hapati
 
Hii sasa ni kali soma polepole.

Wakati Magufuli ameshatamka (siku alipozindua bunge) kuwa amepokea kiporo chamchakato wa katiba na ataendelea na hatua ya kura ya Maoni.

Na waziri Mwakyembe alinukuliwa na waandishi wa habari akisema katiba sio kipaumbele cha Magufuli kwa sasa, na wakati ukifika ataendelea na kura ya maoni.

Leo yule polepole amedai waliozuia katiba isipite wameshaondoka CCM hawapo,tena hivyo anaamini itapatikana katiba ya wananchi.

Ndo kusema wabunge wa CCM waliopitisha Rasimu ya katiba ya Warioba, mpaka usku wako vyama vya upinzani siyo?

Muda unaanza kuongea, hapa mbwembwe tu

Chanzo: Channel ten: Mada motto
 
Back
Top Bottom