JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 693
- 1,158
Wakuu,
Dunia ya sasa ipo kiganjani mwako, lakini je, kila unachokisoma au kusikia ni cha kweli?
Shiriki nasi katika Mjadala wa "Mchakato wa Kuhakiki Taarifa Kwenye Vyombo vya Habari, Unaendana na Kasi ya Kuenea kwa Taarifa Potoshi" kupitia Instagram Live ya JamiiForums.
Mjadala huu utaongozwa na mwandishi wa habari, Imani Luvanga, wazungumzaji ni Nuzulack Dausen wa Nukta Africa pamoja na Mpoki Thompson, Mhariri Mkuu Mwananchi Communication.
Usikose kujiunga nasi Machi 30, 2026, kuanzia Saa 12:00 Jioni hadi Saa 2:00 Usiku
Karibu!
Dunia ya sasa ipo kiganjani mwako, lakini je, kila unachokisoma au kusikia ni cha kweli?
Shiriki nasi katika Mjadala wa "Mchakato wa Kuhakiki Taarifa Kwenye Vyombo vya Habari, Unaendana na Kasi ya Kuenea kwa Taarifa Potoshi" kupitia Instagram Live ya JamiiForums.
Mjadala huu utaongozwa na mwandishi wa habari, Imani Luvanga, wazungumzaji ni Nuzulack Dausen wa Nukta Africa pamoja na Mpoki Thompson, Mhariri Mkuu Mwananchi Communication.
Usikose kujiunga nasi Machi 30, 2026, kuanzia Saa 12:00 Jioni hadi Saa 2:00 Usiku
Karibu!