GIPAMA
JF-Expert Member
- May 21, 2016
- 1,103
- 541
Akiwa na mzunguko wa siku ngapMimi pia ilikuwa hivo.
Tena hiyo siku inanoga sana kwa mwanamke, uno kama lote.
Akiwa na mzunguko wa siku ngapMimi pia ilikuwa hivo.
Tena hiyo siku inanoga sana kwa mwanamke, uno kama lote.
How sure kwamba ovulation inafanyika cku ya 14, je n siku ya 14 asubh, mchana, ama jion?Hahaaaaa kinachonoga mimba lazima inase sijui kwanini? Mi napenda watoto wa kike lazima nitegeshe three day kabla ya ovulation ambayo ni siku ya 14
How sure kwamba ovulation inafanyika cku ya 14, je n siku ya 14 asubh, mchana, ama jion?
Je ukipga siku ya 14 asubhi, ama jion usiku hapo inakuwaje!? Je kama umepizz na akaenda kunawa, je mbegu za kiume zenye mwanaume zinaweza kuathiriwa regadless umepga siku ya 14!?Doggy style halafu ukikojoa apumzike asikimbilie bafuni.
Pia iwe saa 10 au 11 alfajiri wote mmeshatoa uchovu wa siku.
Vyakula Dona korosho karanga ndizi mbivu
Piga siku ya 14 au 15 tangu ameanza MP
Je ukifanya hapo na akatokea wa kke? Mfano me wangu aliwahi kuingia bleed tarehe10 ya mwez wa 7, mwaka fulani, na nikafanya nae tendo tarehe 23.07 ya mwaka fulan, alijifungua wa kke, shida n nn hapo?
Ulishawah kufanywa siku ya 14 muda upi ukawa umepata wa kiume!?Hiyo siku ya 14 huwa ni balaa sana cariha mimi zamani kabla sijazaa nlikuwa napenda wa kike, ila sasa hivi napenda wakiume wote, hapa ninao wawili nataka kuongeza wawili wawe 4, raha sana kwanza ile kuona alfajr kamesimamisha yap yap unaona jogoo kabisa.
Mtoto halali na hela tunamsaidia mleta mada anafuraha ya kupata kidume, bado hajatoka hospital.
Tunawezaje pata sasa vidume, tutumie njia gan?Hiyo NB ni ya kifala...and stop fkng lie sex style can give you a gender you prefers
Ni kweli uliwahi fanya siku ya 14 ama ulifanyaje wwKumbe mimi hodari maana sina wa kike hata mmoja,watano wote madume,hongera zangu baba nanihii kwa kuzijua style wanazozitafuta wengine kwa gharama kubwa sana.
Asante mungu.
Lilishathibitishwa wap?Hili ndyo jibu
Ngoja nitakuwa naingiza siku hii tu nikioa.Ili kupata dume fanya siku ya 14 ya mzunguko wa mama.
Sasa hizo ndizi mbivu si utamjambia mwenzio, swine embu acha ulofaDoggy style halafu ukikojoa apumzike asikimbilie bafuni.
Pia iwe saa 10 au 11 alfajiri wote mmeshatoa uchovu wa siku.
Vyakula Dona korosho karanga ndizi mbivu
Piga siku ya 14 au 15 tangu ameanza MP
Ulifanya usiku, asubh, alfajir mchana ama jion?Nilifuata haya, sasa iv Nina kidume kimezaliwa na 4.8 kgs
Mapigo mengi yalkua alfajir na usikuUlifanya usiku, asubh, alfajir mchana ama jion?
Ni kweli uliwahi fanya siku ya 14 ama ulifanyaje ww
Hawa ndio wanaume wa dar kutafuta mtoto mpka wawekane style wakati usukumani hata ukipiga bao chini halaf mwanamke akakalia tu zile mbegu ananasa mimba na anazaliwa dume la mbegu
vipi kuhusu kupata mtoto wa kike?maana mimi napataga watoto wa kiume tuWakuu hamjambo,
Nimejifunza kutopuuza uchunguzi na ushauri Wa wataalamu,
Nilikuwa na mtoto Wa kike wa kwanza, na mwingine nje ya nchi, Wa kike.
Nilitumia mbinu zinazoshauriwa na wataalamu ili kupata mtoto Wa kiume na hakika imekuwa.
Style zote + Special Nutritional food
NOTE: Nimeoa.
Functioned!!
Ngoja nitakuwa naingiza siku hii tu nikioa.
Kasome, ka practice uje na mrejesho kama mim,vipi kuhusu kupata mtoto wa kike?maana mimi napataga watoto wa kiume tu