Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,390
Umesema kweli mkuu, asante sana
Karibu kiongozi
Umesema kweli mkuu, asante sana
Asante sanaKaribu kiongozi
Navutiwa na siasa za USA, Rusia, Israel na siasa alizoziendesha Lowasa,
Ni siasa ambazo hata asiye na chama atazipenda,
Kuchangia bila kutukana huwezi kijana?Wewe ni mpumbavu kabisa, hivi unazujua siasa za US vizuri? Lowasaa alifanya zaidi ya siasa za usanii akitumia ujuzi wake wa sanaa. Hujielewi
Amekufa wasira aliyejiapiza kama yupo tambikoni na chadema bado ipoKama washauri wa chadema yericko yumo chama kinaenda kufa kike sooon
Yericko nyerere ni janga kuu la wazawa
Siku zingine nani huwa ananituma?Yerico huu ushauri wako nani kukutuma?
Huu ushauri wako ni wakukiingiza chama kwenye shimo, mapendekezo yako kama kuna mtu kakuandikia vileSiku zingine nani huwa ananituma?
Ndiomaana ya mada chokozi, lazima tusigane ili tupate dhahabu nzuriHapo Yeriko umechemka parefu sana. Kama kwenye shughuli za chama hakutakuwa na utambulisho wengine unataka wadhanie ni muadhara au mkutano wa injili? Kwanini unawapendelea ccm kuwa wao wawe na utambulisho au mahaba ya ccm yapo sana moyoni sasa umetumia akili yako kuyaleta na kivuli cha uzalendo?
Aliwazalo mjinga ndilo aliishiloHuu ushauri wako ni wakukiingiza chama kwenye shimo, mapendekezo yako kama kuna mtu kakuandikia vile
Huu ushauri wako peleka CCMAliwazalo mjinga ndilo aliishilo
Pole kijanaHuu ushauri wako peleka CCM
Dhana sio kuvutia mkuu, tulia soma hizo link nilizokupa utaelewa nini hasa dhana ya mada hiiKidogo sare ya CHADEMA inavutia kwanini usiwashauri ccm kuondoa yale manguo ya kijani?
Kwanini iwe tumechelewa wakati kwaanza ndio safari inaanza?Too late