Machozi

machozi ya huzuni ndio niliyoyazoea katika maisha yangu
 
Mungu amuepesha mzinzi na ukimwi.. kichwa cha habari cha nipashe kesho.
Mkuu hujasikia watu wapo kwenye ndoa na watu wenye ukimwi miaka kibao na wao hawana mpaka leo?
Kama siyo Mungu ni nini?
Na walianza kabla ya kuoana.
 
upo sawa kabisa mwenye nia ya kuwa na furaha atakuwa nayo tu
Mtu unapaswa kujenga tafrija na zawadi ya utu wako !! Pia unaweza chakaza na kuchafua nafsi yako kwa kujifurisha au kujichukiza ...huitwa Uhasidi... ikawa kila kiyu kwako NEGETIVE !!

Life is short...Smile na uendelee na maisha hutohasirika kitu !!
Tabasaamu ni bure !!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…