Machine za kuchimbia makaburi

Machine za kuchimbia makaburi

Peculiar

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2015
Posts
821
Reaction score
689
Habari waungwana!
Kuna jambo moja huwa nalifikiria kila misiba inapotokea, sijui labda ni uvivu wangu na haraka zangu,

Huwa naona tunatumia nguvu nyingi sana kuchimba makaburi kuwahifadhi wanaotutangulia. Unakuta wanaume zaidi ya 50 mnachimba kaburi 1 kwa masaa matano mpaka 6.
Mnamaliza mmechoka hoi!

Huwa najiuliza,hivi hakuna machine za kuchimbia makaburi, Walau Kila mtaa ukajichanga na kununua Walau moja, ili kaburi liwe linachimbwa walau kwa lisaa limoja?
Kama Hamna, mafundi Wetu hawaioni kuwa ni fursa na ni biashara kubwa kwao!

Wale wanaokwendaga ughaibuni, hivi huko nako wanachimbaga makaburi kwa sururu na jembe?
 
Mimi sio fundi ndugu, ila Hawa mafundi, Kama wameweza kutengeneza machine za kuchimbia mashimo ya vyoo na visima naona Kama wanaweza wakatutengenezea mtambo wa kuchimbia makaburi. maana Maisha yamebadilika na yanakwenda kasi sana, Kila kitu kinarahisishwa.
 
Habari waungwana!
Kuna jambo moja huwa nalifikiria kila misiba inapotokea, sijui labda ni uvivu wangu na haraka zangu,

Huwa naona tunatumia nguvu nyingi sana kuchimba makaburi kuwahifadhi wanaotutangulia. Unakuta wanaume zaidi ya 50 mnachimba kaburi 1 kwa masaa matano mpaka 6.
Mnamaliza mmechika hoi!

Huwa najiuliza,hivi hakuna machine za kuchimbia makaburi, Walau Kila mtaa ukajichanga na kununua Walau moja, ili kaburi liwe linachimbwa walau kwa lisaa limoja?
Kama Hamna, mafundi Wetu hawaioni kuwa night fursa na ni biashara kubwa kwao!

Wale wanaokwendaga ughaibuni, hivi huko nako wanachimbaga makaburi kwa sururu na jembe?
Excavator
anza wewe wazo zur i sana
 
images (1).jpeg

Ni pesa yako tu, teknolojia inakupa kila utakacho
 
Unaishi DAR sehemu gani mkuu!!?...Raha ya kuchimba kaburi ni pamoja na kupiga stori zisizomuhusu marehemu sambamba na kuletewa msosi makaburini!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unaishi DAR sehemu gani mkuu!!?...Raha ya kuchimba kaburi ni pamoja na kupiga stori zisizomuhusu marehemu sambamba na kuletewa msosi makaburini!!
Unaishi DAR sehemu gani mkuu!!?...Raha ya kuchimba kaburi ni pamoja na kupiga stori zisizomuhusu marehemu sambamba na kuletewa msosi makaburini!!
Unaishi DAR sehemu gani mkuu!!?...Raha ya kuchimba kaburi ni pamoja na kupiga stori zisizomuhusu marehemu sambamba na kuletewa msosi makaburini!!
kumbe kuna umuhimu wa kuchimba kaburi, hata misosi?
 
Tulishawahi Kwenda Kuchimba Kaburi Watu Kama Mia Hv Kituko Sasa Tulichimba Kuanzia Saa 2 Mpaka Saa Nane Mchana Ilikuwa Kila Mtu Siasa Mpira Yaani Kila Mtu Na Lake
 
Zikiletwa Hizo mashine wachimbaji watakula wapi usiwaharibie ugali wao.
 
Tulishawahi Kwenda Kuchimba Kaburi Watu Kama Mia Hv Kituko Sasa Tulichimba Kuanzia Saa 2 Mpaka Saa Nane Mchana Ilikuwa Kila Mtu Siasa Mpira Yaani Kila Mtu Na Lake
 
Tatizo kubwa ni kuwa hizo sehemu za Maziko, Makaburi hayajachimbwa kwa Mpangilio maalum kuwezesha Mashine kupita lasivyo inabidi Wavunje baadhi ya Makaburi ili kupata njia ya kupita hiyo Mashine ambao ni ugonvi Mwingine nao..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom