Machine ya max malipo

Machine ya max malipo

Mtungi kamugisha

New Member
Joined
Aug 9, 2017
Posts
4
Reaction score
1
Napatikana hapa Nyegezi Stand Mwanza, nimefungua office yangu mpya ya MYHAMALA PESA, inajihusisha na Tigo, Voda na Airtel...
NATAKA KUPATA kuapata MASHINE YA MAX MALIPO ili kuboresha na kukidhi mahitaji ya wateja wangu...

Naomba msaada wa namna ya upatikanaji wake ndugu zangu..
Screenshot_2017-08-26-18-59-03.png


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom