Mtungi kamugisha
New Member
- Aug 9, 2017
- 4
- 1
Napatikana hapa Nyegezi Stand Mwanza, nimefungua office yangu mpya ya MYHAMALA PESA, inajihusisha na Tigo, Voda na Airtel...
NATAKA KUPATA kuapata MASHINE YA MAX MALIPO ili kuboresha na kukidhi mahitaji ya wateja wangu...
Naomba msaada wa namna ya upatikanaji wake ndugu zangu..
Sent using Jamii Forums mobile app
NATAKA KUPATA kuapata MASHINE YA MAX MALIPO ili kuboresha na kukidhi mahitaji ya wateja wangu...
Naomba msaada wa namna ya upatikanaji wake ndugu zangu..
Sent using Jamii Forums mobile app