Machine ya kufyatulia pavement blocks

Machine ya kufyatulia pavement blocks

amkawewe

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2011
Posts
2,021
Reaction score
528
Wakuu

Nitapata wapi Machine ya kufyatulia pavement blocks. Na ni bei gani?
 
Mkuu uko wapi?kama upo Dar,nenda hapo njiapanda ya kunduchi,kuna petrol station ya CAMEL,ulizia pale kuna mafundi ya kuchonga vipuri,mm walinichongeaga kimashine kwa shs 25,000 kwa kimoja,ila mafund walipomaliza kaz wakasepa nacho.nimekiangalia kwenye tools zangu hakipo.
 
Mkuu uko wapi?kama upo Dar,nenda hapo njiapanda ya kunduchi,kuna petrol station ya CAMEL,ulizia pale kuna mafundi ya kuchonga vipuri,mm walinichongeaga kimashine kwa shs 25,000 kwa kimoja,ila mafund walipomaliza kaz wakasepa nacho.nimekiangalia kwenye tools zangu hakipo.

Asante sana mwana.
Ngoja niwacheck.
 
Zinatengenezwa na bei ni maelewano kulingana na aina ya tofauli unazotaka.

Asante. Unaweza kutulezea hizo aina and bei.
Miye nataka herringbone pattern za concrete.
 
Asante. Unaweza kutulezea hizo aina and bei.
Miye nataka herringbone pattern za concrete.

Mkuu niliongea na fundi akaniambia wanatengeza Complete kwa elfu 80. Sasa nikashindwa kuendelea kumhoji maana ya hiyo Complete maana salio lilikata. Labda kama unaweza kuwasiliana naye nikutumie namba yake maana anaishi Mbezi Beach.
 
Mkuu niliongea na fundi akaniambia wanatengeza Complete kwa elfu 80. Sasa nikashindwa kuendelea kumhoji maana ya hiyo Complete maana salio lilikata. Labda kama unaweza kuwasiliana naye nikutumie namba yake maana anaishi Mbezi Beach.

Mkuu nipm namba ya simu
 
Mkuu niliongea na fundi akaniambia wanatengeza Complete kwa elfu 80. Sasa nikashindwa kuendelea kumhoji maana ya hiyo Complete maana salio lilikata. Labda kama unaweza kuwasiliana naye nikutumie namba yake maana anaishi Mbezi Beach.

eey na me naomba namba ake
 
nenda udsm pale t.d.t.c college ya coet mkuu
 
Zile ambazo zinatoa kipande kimoja kimoja huuzwa Tzs 25,000 au zaidi inategemea nguvu yako ya mapatano. Zipo ambazo huweza toa vipande 3 hadi 4. .bei si chini ya laki 3 Tzs. .ukienda pale sido kipawa ukiulizia wapo watalaam hao. . Hivi vya kipande kimoja vipo gerezani kwa maua tofauti chaguo lako. Tatizo vile vya gerezani vingine si vizuri ukifyatua vitofari havi vaani. .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom