Wanaojua vizuri naomba wanisaidie kujua tofauti iliyopo kati ya Makaburu na Polisi wa CCM.
Machemli ndiyo nani mbona hili jina geni halafu la ajabu sana ndiyo yupi mwigiza au mwimbaji?
Machemli ndiyo nani mbona hili jina geni halafu la ajabu sana ndiyo yupi mwigiza au mwimbaji?
Ifike mahali twende mbele zaidi, badala ya kushangilia "ushindi" au kumshukuru mungu kwa kutenda "mema", tutumie akili zetu vyema. Baada ya Polisi kushindwa kesi hiyo ya uchochezi ndugu machemli afunge kesi mahakamani ya kudai findia kwa kubambikiwa shitaka lisilokuwepo.
Napendekeza fidia hiyo iwe kama anayodai Manji kwa Mengi. Hii itasaidia kuwadhibiti Polisi ambao hufanya kazi kama Roboti kwa kufahamu kwamba kesho wakifungua kesi za aina hiyo watafikishwa mahakamani kulipa fidia kutokana na madhila ambayo wamekuwa wakiyatekeleza kwa wananchi.
Nategemea Ndugu Machemli, ambaye ni kiongozi kuongoza njia kwa hjili kwa kufungua shauri la kutaka fidia n sio kushangilia "ushindi" kuwa amewabwaga polisi mahakamani, maana yake kesho watamtafuta kwa namna nyingine na kuendeleza mchezo wa paka na panya.
Huyi jamaa nimetoka onapicha zake chafu muda huu huu. Nilikuwa simjui nashangaa hukutena.. haya. Picha chafu zaidi ya zile za Komba zimezagaa mitandaoni. Huu mwaka wa watu kuaibika hadharani. Hivi hizi pichi wanajipiga ama wanategeshewa?
Mungu akiwa upande wako nani wakushindana nawe?
Peopleeeeeeeeeeee.........:
hata mama yako analalamika asipofikishwakwenu nyinyi haki ni pale inapokuwa favour kwenu tu, lakini hapo angetiwa hatiani mngelalamika kuwa haki haijatendeka. wapuuzi kabisa nyie,
Wewe ni Abunuas kweli,hivi wewe unadhani wakorofi ni chadema tu?, polisi ambao hutumwa tu na elimu zao ni fiv failure,hawana critics on any thing,ccm mbinu hii ilikuwa ya Makaburu,hivi ANC ccm mnasemaje ni chama tawala cha kigaidi?kwenu nyinyi haki ni pale inapokuwa favour kwenu tu, lakini hapo angetiwa hatiani mngelalamika kuwa haki haijatendeka. wapuuzi kabisa nyie,
funza yake mavi. wewe ni sawa na funza.hata mama yako analalamika asipofikishwa
Huyi jamaa nimetoka onapicha zake chafu muda huu huu. Nilikuwa simjui nashangaa hukutena.. haya. Picha chafu zaidi ya zile za Komba zimezagaa mitandaoni. Huu mwaka wa watu kuaibika hadharani. Hivi hizi pichi wanajipiga ama wanategeshewa?
Wewe ni Abunuas kweli,hivi wewe unadhani wakorofi ni chadema tu?, polisi ambao hutumwa tu na elimu zao ni fiv failure,hawana critics on any thing,ccm mbinu hii ilikuwa ya Makaburu,hivi ANC ccm mnasemaje ni chama tawala cha kigaidi?
Rais Mwinyi alipoteuliwa mwaka 1985/8/15 alisema" baada ya Nyerere mwl tutakuwa na mbinu tu si uongozi bora"
Hicho wanachofanya ccm ni mbinu tu mojawapo ni hizi kama michezo ya Hollywoord!
Na wewe kwa kujishaua hujambo! unataka kuzuga hapa kwamba humfaham baba yako wa kufikia! basi mama yako baada ya kuachwa na baba yako mzazi, alienda kuishi na huyu jamaa na ndie huyo aliye kupeleka shule.Machemli ndiyo nani mbona hili jina geni halafu la ajabu sana ndiyo yupi mwigiza au mwimbaji?
Naunga mono lkn nadhani anatakiwa adai fidia kubwa ili fidia hiyo itatue kero kkadhaa za wananchi kama afya, majiIfike mahali twende mbele zaidi, badala ya kushangilia "ushindi" au kumshukuru mungu kwa kutenda "mema", tutumie akili zetu vyema. Baada ya Polisi kushindwa kesi hiyo ya uchochezi ndugu machemli afunge kesi mahakamani ya kudai findia kwa kubambikiwa shitaka lisilokuwepo.
Napendekeza fidia hiyo iwe kama anayodai Manji kwa Mengi. Hii itasaidia kuwadhibiti Polisi ambao hufanya kazi kama Roboti kwa kufahamu kwamba kesho wakifungua kesi za aina hiyo watafikishwa mahakamani kulipa fidia kutokana na madhila ambayo wamekuwa wakiyatekeleza kwa wananchi.
Nategemea Ndugu Machemli, ambaye ni kiongozi kuongoza njia kwa hjili kwa kufungua shauri la kutaka fidia n sio kushangilia "ushindi" kuwa amewabwaga polisi mahakamani, maana yake kesho watamtafuta kwa namna nyingine na kuendeleza mchezo wa paka na panya.