Sikuhizi unaswekwa ununio😁Sina mwanasheria naogopa kuswekwa rumande.
Hao ukiwaambia waape kwa kupitisha vidole vyao shingoni lazima watatumia nguvu nyingi hadi watachubua makoo yao.Pamoja na Raisi Samia mwenyewe. Hawa ni watu walio kula kiapo kwa nchi lakini wamekuwa machawa. Historia yetu itawahukumu kwa udhaifu wa nchi na mifumo yetu.
Mahakama
View attachment 3315547
Bunge
View attachment 3315548
Jeshi la polisi
View attachment 3315550