Nashindwa kuelewa priority ya baadhi ya wabunge wetu....chama kimeshachukua maamuzi ya kumfukuza...kinachowapitisha huko Kigoma na suala hilo hilo ni nini?? Kwanini hawakupita kabla ya kuchukua maamuzi ili na wananchi wake washirikishwe kujua kiongozi wao alivyokuwa kansa na waamue?? Hofu ya nini,kama kutakuwepo na uchaguzi, wananchi ndo wataamua. Fanyeni kazi bwana,mmeanza mwaka na Kafulila mnatumia kodi zetu kwa mambo yasiyo ya manufaa kwetu.
sina uhakika kama kafulila kafulia ila nachodhani NCCR hawakutakiwa kukata kijanja baada ya kuona dogo kaharibu kama kijana wao wlitakiwa wamweke chini wamfunde na wampe second chance na muda wakumsoma nyenendo zake ma sidhan kama kafulila kwa hali aliyokuwa nayo siku ile angepata msamaha angeleta vurugu ma najua angelikuwa mtoto mzuri sana lakini kilichofanyika ni kama kukomoa acha tumkomeshe kwanza inaonyesha udhaifu mkubwa sana mi sijaipenda sana na nadhani sitaipenda mana me ni muumini wa second chance kwa wanaokosea na kuomba msamaha na kukiri kosa kama kafulila.
Hivi sasa we machali inamana wewe unapinga hoja za kafulila kuhusu mbatia? Kwani nani asojua mbatia ni kibaraka wa ccm hasa kwa hoja zake ambazo zilikuwa zikizoofisha upinzani.
Huyo Machali anaeweka hizo karatasi za misamaha anataka kutuambia nini? Anataka kutuambia nini zaidi ya sababu zilizotolewa kuhusiana na kufukuzwa kwake. Sidhani kama ni uungwana kumwanika mtu hivyo. Nadhani machali hana busara za uongozi. Kuwa kiongozi mzuri ni pamoja na kuchagua mambo ya kuanika. Ahh huyu kijana bana. Anachofanya Machali ni sawa na kumfukuza alieiba nguo yako. Unaonekana chizi kuliko unaemfukuza sory to say
Walikuwa marafiki na ndio aliwaingiza mkenge wakiwa cdm wakafukuzwa. hivyo huko nccr wameachana na ujinga wake. na tajuta kupenda madaraka kafulila ni sawa na Lusifa jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.