KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Macelebu wengi wa bongo hasa wanaume, pamoja na ustaa wao wa kuchukua totoz kali, wamejikuta wameoa wasichana ambao si wakali kivile.
wakali ndio nini tena ..kila mtu na wake aliyepangiwa ikifika mwisho wa siku unajinyakulia mwanakondoo wa moyo wako.