washwa washwa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 1,613
- 728
Naona kwenye ziara za Mkulu anagawa maburungutu ya mshiko kila anapoguswa na changamoto anazoambiwa. Hizi pesa zinatoka wapi?
Mkuu vyuma vilivyo kaza anipa burungutu la 5M nitapunguza makaliVipi Na Wewe Unahitaji Mgao Kweli Vyuma Vimekaza Mpaka Unazitolea Mimacho Pesa Za Mkuu Wa Nchi.
Kwani wewe hutoi gawio (kodi) serikalini?Naona kwenye ziara za Mkulu anagawa maburungutu ya mshiko kila anapoguswa na changamoto anazoambiwa. Hizi pesa zinatoka wapi?
Mkuu Kuwa Mpole, Maendeleo Hayana Chama.Mkuu vyuma vilivyo kaza anipa burungutu la 5M nitapunguza makali
hayana chama lakini yanaletwa na CCM [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu Kuwa Mpole, Maendeleo Hayana Chama.
Sawa Yanaletwa Na CCM Ila Mkuu Hadi Anafikia Uamuz wa Kutoa Cash Money Ujue Kaguswa Sana Mi Binafsi Nampongeza Sana.hayana chama lakini yanaletwa na CCM [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]