Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,866
- 4,252
- Thread starter
-
- #21
eti wamefanya legislative forecast ili nxt time wasije kusumbuka tena kupanuakama ni kubwa kuliko la uingereza na la kenya kulinganisha idadi ya wabunge wanapokuwa bungeni tunakosea. Ni lazima seats zetu nyingi zitaonekana zipo wazi.
ooh! Niliwahi kusikia bunge la uingereza ni dogo kuliko idadi ya wabunge na wamefanya hvyo makusudi kwa sababu wanajua sio wakati wote wa bunge, wabunge wote watakuwa bungeni.eti wamefanya legislative forecast ili nxt time wasije kusumbuka tena kupanua
inawezekana kuwa ni wakati wa bunge ila mbunge na kazi nyingine muhimu nje ya bunge hvyo anaruhusiwa kutoka mjengoni. Pia anawezekana kuna dharula imetokea jimboni kwake. Ni nadra kukuta wabunge wote mjengoni kipindi cha bunge.. Halafu kutwa Bunge halijajaa hivi wanaenda wapi wakati wanatakiwa kuwa Mjengoni?
Tumeshajichanganya, tumeshajenga, acha wakae cha muhim watimize wajibu siyo kuiomba serikali kwa kitu ambacho ni haki yako. Ndio maana baadhi ya haki za raia viongozi huita msaada. Mfano ".... serikali imewasaidia sana wananchi wa Namanyerere kwa kuwapatia barabara ya kiwango cha lami....." Siyo msaada ni haki yao kwa kodi yao
Sema " tunashukuru kwa kuijenga kwa lami, siyo kw kuwasaidia.!
Jamani wacha bunge liwe kubwa idadi yaweza kuongezeka si kuna mikoa na wilaya mpya nchi inakuwa hii na maendeleo yanakuja wajameni
Kuna haja ya kuubadilisha ukumbi wa Bunge letu TZ ukae kikazi zaidi. Umekaa kianasa sana ndio maana wanaotafakali kwa kina ni wengi. Halafu kutwa Bunge halijajaa hivi wanaenda wapi wakati wanatakiwa kuwa Mjengoni?
Tukumbuke kwamba Uingereza ina mabunge mawili (House of Commons na House of Lords).. na hii picha inaonyesha mojawapo.
Ila pia uamuzi wa kudumisha historia ya jengo lao ndio unaofanya wabanane humo ndani..Ni uamuzi wa muda mfefu uliofanywa na waziri mkuu Winston Churchill wakati likijengwa upya baada ya kubomolewa na moto vitani.
Sisi hatuna historia yoyote ya kulinda na hivyo sioni tatizo kuwa na jengo la kisasa.
Ila kama hiyo itasababisha watu walale usingizi au kushawishika kuongeza idadi ya wabunge ili kulijaza basi tutakuwa tuna matatizo makubwa.