Mabula una hali ngumu kuiongoza Mwanza

Mabula una hali ngumu kuiongoza Mwanza

Aaron

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2010
Posts
3,019
Reaction score
4,695
Wana jukwaa..poleni na majukumu
Najua bado tunafatilia taarifa mbalimbali za uchaguzi nimeona vyema niwajuze hili kutoka jijini mwanza..
Pamoja na rafu nyingi walizocheza ccm wakiongozwa na mkapa aliyeweka kambi hapa mjini kuhakikisha mwanza inarudi mikononi mwa sisiem kutimia na mengine mengi yalifanywa...tutaendelea kujuzana..
Leo hii siku ya jumanne mji mzima wa mwanza umekuwa kimya kila pande...kila group la watu ni manung'uniko tu...leo mbunge mteule alikuwa akipita hapa mjini akiwa kwa gari la wazi cha kushangaza watu wachache sana ndio wameungana nae...alikuwa akiwapungia mkono bila kujibiwa huku nyuso za kila mmoja zikiwa hazina guraha hata kidogo....watu wamekasilika sana ..bodaboda wamesema hawamtambui maana wanarudi kwenye mateso...waendesha mikokoteni ndio kabisa wanalia wanasema sasa ndio mwisho wao maana hata halmashauri inaongozwa na ccm kwa sasa kwani imepata madiwani wengi... Nikiwa katika biashara zangu kuna mteja kaja na kusema sasa hakuna kumsaidia mtu yeyote atakaye kuja kuomba msaada hapa maana haiwezekani hali ngumu na umaskini bado wanachagua ccm...wengine wameenda mbali na kusema mkienda hospital msipokuta madawa msilalamika maana mmechagua wenyewe.... Wafanya biashara wakubwa wanasema sasa mapambano yanaanza hawana furaha hata kidogo.... Mji mzima uko kimya sana ni kama hapakuwa na uchaguzi...
 
ndo nachosemaga... ule wimbo wa acha waisome namba... huwa wanawaimbiwa hao hao wanaowachagua sio upinzani
 
Pole sana mkuu ndiyo siasa zilivyo hamna mbunge mwenye kazi rahisi ndiyo maana umeona wabunge wote wamepambana kweli kweli hata wale waliokuwa wanayashikilia majimbo yao.

Unachotakiwa ni kuheshimu maamuzi ya watu wa Mwanza wewe huna mamlaka ya kuwapangia kiongozi.

Kwani wakati yupo Wenje dawa hospital zilikuwa zinapatika bure.

Labda tufahamishe majimbo yaliyokuwa chini ya Chadema yalikuwa na maendeleo gani.
 
Wanaweza kumpinga mleta maada, lakini ni ukweli mji wa Mwanza umekuwa kama umenyeshewa mvua. Watu waliowengi wanalalamikia sana matokeo na hawaamini matokeo hayo. Anyway, ametoka mwakilishi anaingia mpiga dili.
 
.....katika vitu vilivyowauma mwanza ni jimbo la nyamagana nahisi huyu mbunge atakuwa na wakati mgumu sana kueleweka kwa wananchi....
 
Wana jukwaa..poleni na majukumu
Najua bado tunafatilia taarifa mbalimbali za uchaguzi nimeona vyema niwajuze hili kutoka jijini mwanza..
Pamoja na rafu nyingi walizocheza ccm wakiongozwa na mkapa aliyeweka kambi hapa mjini kuhakikisha mwanza inarudi mikononi mwa sisiem kutimia na mengine mengi yalifanywa...tutaendelea kujuzana..
Leo hii siku ya jumanne mji mzima wa mwanza umekuwa kimya kila pande...kila group la watu ni manung'uniko tu...leo mbunge mteule alikuwa akipita hapa mjini akiwa kwa gari la wazi cha kushangaza watu wachache sana ndio wameungana nae...alikuwa akiwapungia mkono bila kujibiwa huku nyuso za kila mmoja zikiwa hazina guraha hata kidogo....watu wamekasilika sana ..bodaboda wamesema hawamtambui maana wanarudi kwenye mateso...waendesha mikokoteni ndio kabisa wanalia wanasema sasa ndio mwisho wao maana hata halmashauri inaongozwa na ccm kwa sasa kwani imepata madiwani wengi... Nikiwa katika biashara zangu kuna mteja kaja na kusema sasa hakuna kumsaidia mtu yeyote atakaye kuja kuomba msaada hapa maana haiwezekani hali ngumu na umaskini bado wanachagua ccm...wengine wameenda mbali na kusema mkienda hospital msipokuta madawa msilalamika maana mmechagua wenyewe.... Wafanya biashara wakubwa wanasema sasa mapambano yanaanza hawana furaha hata kidogo.... Mji mzima uko kimya sana ni kama hapakuwa na uchaguzi...
Machozi ya Mamba ndio haya.
 
Pole sana mkuu ndiyo siasa zilivyo hamna mbunge mwenye kazi rahisi ndiyo maana umeona wabunge wote wamepambana kweli kweli hata wale waliokuwa wanayashikilia majimbo yao.

Unachotakiwa ni kuheshimu maamuzi ya watu wa Mwanza wewe huna mamlaka ya kuwapangia kiongozi.

Kwani wakati yupo Wenje dawa hospital zilikuwa zinapatika bure.

Labda tufahamishe majimbo yaliyokuwa chini ya Chadema yalikuwa na maendeleo gani.
Nadhani ungesema.. Unachotakiwa ni kuheshimu maamuzi ya haki ya wapiga kura, kama mpiga kura ana uhakika kwamba umeiba kura zake lazima atakuwa na hasira nawe na atakupa wakati mgumu kufanya kazi zako za kibunge.
 
Wana jukwaa..poleni na majukumu
Najua bado tunafatilia taarifa mbalimbali za uchaguzi nimeona vyema niwajuze hili kutoka jijini mwanza..
Pamoja na rafu nyingi walizocheza ccm wakiongozwa na mkapa aliyeweka kambi hapa mjini kuhakikisha mwanza inarudi mikononi mwa sisiem kutimia na mengine mengi yalifanywa...tutaendelea kujuzana..
Leo hii siku ya jumanne mji mzima wa mwanza umekuwa kimya kila pande...kila group la watu ni manung'uniko tu...leo mbunge mteule alikuwa akipita hapa mjini akiwa kwa gari la wazi cha kushangaza watu wachache sana ndio wameungana nae...alikuwa akiwapungia mkono bila kujibiwa huku nyuso za kila mmoja zikiwa hazina guraha hata kidogo....watu wamekasilika sana ..bodaboda wamesema hawamtambui maana wanarudi kwenye mateso...waendesha mikokoteni ndio kabisa wanalia wanasema sasa ndio mwisho wao maana hata halmashauri inaongozwa na ccm kwa sasa kwani imepata madiwani wengi... Nikiwa katika biashara zangu kuna mteja kaja na kusema sasa hakuna kumsaidia mtu yeyote atakaye kuja kuomba msaada hapa maana haiwezekani hali ngumu na umaskini bado wanachagua ccm...wengine wameenda mbali na kusema mkienda hospital msipokuta madawa msilalamika maana mmechagua wenyewe.... Wafanya biashara wakubwa wanasema sasa mapambano yanaanza hawana furaha hata kidogo.... Mji mzima uko kimya sana ni kama hapakuwa na uchaguzi...

Hata songea pia Leo ccm walikuwa wakishangilia ushindi wakiwa wachache hakuna shamra shamra
 
mm sipo mwanza ila dah imeniuma sana Wenje kumkosa bungeni BTW poleni wana mwanza ndio mmeshamchagua Mabula, mtaisoma namba eeeeh ccm mbele kwa mbeleeeeh
 
Pole sana mkuu ndiyo siasa zilivyo hamna mbunge mwenye kazi rahisi ndiyo maana umeona wabunge wote wamepambana kweli kweli hata wale waliokuwa wanayashikilia majimbo yao.

Unachotakiwa ni kuheshimu maamuzi ya watu wa Mwanza wewe huna mamlaka ya kuwapangia kiongozi.

Kwani wakati yupo Wenje dawa hospital zilikuwa zinapatika bure.

Labda tufahamishe majimbo yaliyokuwa chini ya Chadema yalikuwa na maendeleo gani.

Kumbe Wenje ndiyo alitakiwa kuleta madawa hospital nilikuwa sijajua.

Yale magari ya polisi na washawasha mlikuwa mnakuja kupigana na kipindupindu au na maradhi gani?

Wajinga hamtakaa muishe TZ
 
CCM hawajali hilo, as long as mburula mulongo lipo basi hapo mwanza hameni kabisa.

Huyo Mabula atakuja kuishi Dar, huko Mwanza mtamsikia au kumuona uchaguzi wa 2020.

CCM ni ile ile, hamsikii wakiimba?
 
Pole sana mkuu ndiyo siasa zilivyo hamna mbunge mwenye kazi rahisi ndiyo maana umeona wabunge wote wamepambana kweli kweli hata wale waliokuwa wanayashikilia majimbo yao.

Unachotakiwa ni kuheshimu maamuzi ya watu wa Mwanza wewe huna mamlaka ya kuwapangia kiongozi.

Kwani wakati yupo Wenje dawa hospital zilikuwa zinapatika bure.

Labda tufahamishe majimbo yaliyokuwa chini ya Chadema yalikuwa na maendeleo gani.

Idd Azan chaliiii!!! Wewe unashangiliya ya Mwanza huku DSM imeondoka
 
mm sipo mwanza ila dah imeniuma sana Wenje kumkosa bungeni BTW poleni wana mwanza ndio mmeshamchagua Mabula, mtaisoma namba eeeeh ccm mbele kwa mbeleeeeh

Kwani Wenje alifanya nini cha kukumbukwa hapo nyamagana?
 
.....katika vitu vilivyowauma mwanza ni jimbo la nyamagana nahisi huyu mbunge atakuwa na wakati mgumu sana kueleweka kwa wananchi....

Huyo ni mzawa na wazawa wanamwelewa, wakuja msilazimishe mambo nyumbani kwa watu . Mwanza unaondoka kuwa mji wa harakati unaenda kuwa mji wa kazi tu.
 
Haiwasaidii sana kwa sababu wamwzuia Mwanza lakini wamenyang'anywa uongozi wa halmashauri za majiji ya Arusha, Tanga na Mbeya na manispaa ya Bukoba!!

Likely hesabu zao mbaya na za hovyo
 
Sizitaki mbichi hizi...watu wa Mwanz wameamua eti oh mkapa aliweka kambi..na hao mawakala wa chadema walikua wapi mda huo?..inabidi ufike wakati tukubali matokeo
 
Back
Top Bottom