Maboto mnatunyanyasa wateja

Maboto mnatunyanyasa wateja

makwagejo

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2019
Posts
403
Reaction score
314
Naomba wenye namba na masiliano makoa makuu Maboto Micro finance, atusaidie.

Tunaomba balance tuwalipe madeni yenu mkononi hamtaki mnataka kumshikiria mteja ili iweje, hamjui dunia ya leo ni soko huru la kukopeshana, taasisi ni nyingi na masharti nafuu, sasa unaombwa balance unasema balance hadi siku tisini.

Ukienda NMB na CRDB Bank, ukiomba balance unapewa ndani ya masaa 24, imetoka, mnatunyanyasa kwa kuwa ni taasisi ya mbunge au?

Hapana tupeni balance zetu tuhame.
 
Hivi hiyo taasisi ni mali ya mbunge yupi jamani? Ninachojua kuwa ni mwenyewe ni mkurya
 
Na wewe ubadilike sasa! Yaani mpaka karne hii ya 21 bado unakopa Maboto, Bayport, Diamond Platinum! Kwa nini usiende NMB, CRDB, TPB, NBC, nk?
Mkuu wengine wanakuwa washakopa benki zoote na kukosa sifa ya kukopa benki.

Hivyo option yao ni kwenda huko kwenye wakopeshaji umiza
 
Hivi ukikopa ukashindwa kulipa utafanywa nini? Kwa sababu hii maboto inaonyesha haitaki kulipwa kwa the way mlalamikaji alivotushirikisha.

Mimi naomba balance hutaki kunipa unataka nini? Mkuu nakushauri achana nao hao
 
Mwingine huyo
Screenshot_20210527-224528_Chrome.jpeg
 
Naomba wenye namba na masiliano makoa makuu Maboto Micro finance, atusaidie...
Asee Hawa jamaa ni shidaaaaaa asikwambie mtu. Tafadhari usije kumshauri hata nduguyo rafiki jirani au awaye yeyote kuingia kwa Hawa jamaaaa. Hawafaiiiii in deed. Walichonifanyia sitasahau
 
Pole,Kwa usumbufu lakinia nadhani ni wakati Sasa benki zetu kuja na mifumo shindani ,mfano salary adv.wanaza kubiresha Zaidi mtumishi akopo mikopo hii ya dharula Kwa muda wa miezi 6-12,hii itasaidia maana shida ni⅓ ya mshahara.
 
I hate hii Taasisi ...Wasumbufu sana....N.B usimshauri mtu yoyote akope kwa hawa majamaa.
 
Back
Top Bottom