Mabomu ya gesi yamerindima kwa dakika kadhaa nje ya kituo cha Polisi Bukoba baada ya kundi la waendesha pikipiki kuandamana wakitaka kumshughulikia mtu anayedaiwa kuwa mwizi sugu wa pikipiki.Taarifa za majeruhi hazijapatikana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.