Mabomu ya machozi Songea

Mabomu ya machozi Songea

kindondindo

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2013
Posts
503
Reaction score
151
Eneo la bombambili songea kinanuka saizi ni baada ya polisi kukamata pikipiki kama 200 afuunaambiwa kosa utalijua kituoni.

Bodaboda wameamua kuchoma matair ya gari barabarani pale mteremkoni kama unapanda kwa mkuu wa mkoa
 
Hawa madereva wa bodaboda serikali ikiendelea kuwachekea wanaweza kuingia msituni kuanzisha jeshi la uasi.

Serikali iwadhibiti mapema iwezekanavyo. Long story short, "wachapwe".
 
Mmmh!mbona kama wanakuja juu sana?nafikiri kuna jambo la kufanya kuratibu aina hii ya usafiri ambao umeshamiri kwa sasa Tanzania nzima!
 
Kwa nini wawakamate bila kuwaambia kosa?

Kama ni kweli ndio utaratibu huo???
 
Hii Nchi imesha kuwa uwanja wa fujo sasa Unakamataje mali ya mtu bila kumueleza kosa..?
 
Mmmh!mbona kama wanakuja juu sana?nafikiri kuna jambo la kufanya kuratibu aina hii ya usafiri ambao umeshamiri kwa sasa Tanzania nzima!
watadhibitije wakati serikali ilipitisha muswada wa hivi vyombo ktumika kam ambulance vijijini? hapo ndio watajua haki sawa kwa wote ni nini.
 
Eneo la bombambili songea kinanuka saizi ni baada ya polisi kukamata pikipiki kama 200 afuunaambiwa kosa utalijua kituoni.

Bodaboda wameamua kuchoma matair ya gari barabarani pale mteremkoni kama unapanda kwa mkuu wa mkoa

Wa akina Alfonso wanatafuta za Pasaka. Jana Mererani juzi Tunduma leo Songea. Ingefaa kama wangezitafuta kwa maf.sadi lakini kwa bodaboda? Aaagh.
 
Eneo la bombambili songea kinanuka saizi ni baada ya polisi kukamata pikipiki kama 200 afuunaambiwa kosa utalijua kituoni.

Bodaboda wameamua kuchoma matair ya gari barabarani pale mteremkoni kama unapanda kwa mkuu wa mkoa

mkuu tupe updates mana tuna mali zetu huko
 
niwakati sasa wa vikundi vyote vinavyo jitafutia pesa ya kula kwa njia halali kupambana na wafuasi wa magamba tanganyika msikubali wonevu huu pambaneni mpaka mjipatie uhuru wa kweli si huu wa mkoloni mweusi
 
Back
Top Bottom