Mabomu ya machozi yanapigwa hapa G/mboto, baada ya wanafunzi wa shule ya msingi kufunga barabara wakishinikiza kuwekwa tuta, kwa madai ya kugongwa mwenzao.
Bomu la kulipuka halipigwi picha!
He he heee! Wazee wa kusoma title na kukimbilia kutoa comments!Tupe detail za kutosha tukio limetokea eneo gani hasa na chanzo ni nini kilichopelekea wanafunzi kufunga barabara ...