kwanza rais wenu hata hakujiandaa kuongea chochote juu ya janga akaishia kututusi eti tusisikilize redio mbao, huku yeye na jeshi lake wakiwa hawana msaada kwa waathirika.
ameshindwa hata kusema anatoa msaada gani kwa waathirika, RED Cross ndo wamekuwa waokozi na clouds, nk but not the government! Aibu, kubwa. ajivunie uzembe wa watz, misri, na tunisia wangemtaka avunje baraza lake na aondoke ikulu mara moja!
hivi inakuja kweli, watu wameathirika na mabomu yapo majumbani kwa watu afu unadai acheni redio mbao, hakuna matatizo rudini nyumbani!
huyu ni mzalendo? au msanii asiyeweza kuchambua a na be?
kuna mabomu mengine yametua jikoni yapo na sufuria huko....rais ananiambia nirudi kwenye makazi yangu.....usiku uingie nilale kwa raha hakuna shida......hivi yupo siriaz kweli....au shauri halijampata yeye?