klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
dah! kasweswe! umejaribu kumgoogle?nashukulu kama ulielewa namaana gani !!!!!!!!!!
Maana nimechanganyikiwa shemeji yenu leo cku ya tatu cmuoni !!!!!!!!!!1
dah! kasweswe! umejaribu kumgoogle?nashukulu kama ulielewa namaana gani !!!!!!!!!!
Maana nimechanganyikiwa shemeji yenu leo cku ya tatu cmuoni !!!!!!!!!!1
D u Nziriye upo sahihi kabisa huu ni ukumbi wa Jokes asiyeweza aende akafungue Jukwaa la siasa au International au tumuombe MOD afungue JF Rambirambi iwe sehemu ya huzuni tupu, Iran Libya Gongo la mboto, Mbagala, MV Bukoba nk
its okey kama ntataniwa,ina mana haujawahi kwenda msibani ukakuta watani wa jadi wanataniana na watu waliofiwa au?mbna hapo hauhoji ?au ndo unayesupport tu hoja without arguments ambazo zina-sound,nipo ktk right venue ,so kama hupendi kuchangia then its better ukaenda jukwaa la hoja na mambo mbalimbali,jamii intelligence, n.k ,nawasilisha.
dah! kasweswe! umejaribu kumgoogle?
Nia nze kwa kuomba r.i.p kwa marehemu wote wa mabomu gongo la mboto ,na majeruhi wawahi kupona mapema,but kweli vita mbaya yani ktk kimbia kimbia kila mtu kuokoa roho yake kuna mama mmoja amejikuta kabeba mbwa badala ya mtoto akafika jet -corner ndo kutahamaki kaacha mtoto,wengne wakimbia uchi,na sidiria,chupi,na tight,boxer...jamani eti ktk vita huwa kuna matukio yepi mengne ya kuchanganyikiwa yanayotendwa na wahanga
hii ni section ya jokes so sion cha ajab!
hawataki utani halafu wamefika kwenye jukwaa lake.
Kichekesho chenyewe hakichekeshi lakini.
hawataki utani halafu wamefika kwenye jukwaa lake.
Kichekesho chenyewe hakichekeshi lakini.