mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 22,629
- 8,416
Wanangu kuna simulizi;
Kuna mzee aliumia mguu.
Ktk Kumtibu aliona awaeleze wazee wenzie tofauti na mguu ulio umia ili kukwepa maumivu ya kumchua.
Hatima ya siri yake mguu ukaoza na umauti ukamfika.
Haya ndio tunayo yashuhudia leo hapa kwetu.
Kila changamoto inayo jitokeza ukiuliza viongozi utaambiwa hiyo ni siri,Haistahili muijue.
Siri ikigundulika kwamba sio siri bali ni ufisadi.
Hivyo basi dawa yake ni kunywa mlutulutu(Maamuzi magumu ya kumkoma nyani giladi) na mnaleta mlutulutu kauleta ili anywe mgonjwa apone.
Kinacho tokea anakunywa kofelyn(kuunda tume za kisanii) kwa kuwa ni dawa tamu si chungu kama mlutulutu.
Kumbe anajiandalia kifo kwa mkono na matendo yake
OLE WENU KWAMBA MFICHA MARADHI;
KIFO KITAMUUMBUA.
Kuna mzee aliumia mguu.
Ktk Kumtibu aliona awaeleze wazee wenzie tofauti na mguu ulio umia ili kukwepa maumivu ya kumchua.
Hatima ya siri yake mguu ukaoza na umauti ukamfika.
Haya ndio tunayo yashuhudia leo hapa kwetu.
Kila changamoto inayo jitokeza ukiuliza viongozi utaambiwa hiyo ni siri,Haistahili muijue.
Siri ikigundulika kwamba sio siri bali ni ufisadi.
Hivyo basi dawa yake ni kunywa mlutulutu(Maamuzi magumu ya kumkoma nyani giladi) na mnaleta mlutulutu kauleta ili anywe mgonjwa apone.
Kinacho tokea anakunywa kofelyn(kuunda tume za kisanii) kwa kuwa ni dawa tamu si chungu kama mlutulutu.
Kumbe anajiandalia kifo kwa mkono na matendo yake
OLE WENU KWAMBA MFICHA MARADHI;
KIFO KITAMUUMBUA.