Moto wa volcano
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 2,504
- 6,212
Dah...nadhani hakuna namna....tusubiri tu uchaguzi mkuu upite kwanza [emoji2960]Nini kifanyike?
HatutakiNyie wavulana oeni please
utakuwa single mama wewe, hauna pa kukimbilia tayari.Inategemea "ntu na ntu" binafsi niko na thirty two yangu safi kabisa na hakuna kitu cha kunifanya niwe desperate as long as nakula nashiba na kulala kwa amani.
Inabidi waandamane ijulikane kabisa kama wanahitaji ndoa kuliko kitu kingine ili wanaume wenye nia za kuoa zaidi ya mara moja wajichagulie .Nini kifanyike?