Justine Marack
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 567
- 1,551
Binafsi ni Juzi tu Mwezi Juni ndipo nilipo faham kuwa Dem aliye imba au kutia sauti Katika Mtoto wa Gtei kali ya Inspector Haroun Alikua ni Queen Darleen. hii ni baada ya Babu kueleza hivyo katika kituo kimoja cha Radio. Hawa mabinti walikua hawapewi credit au recognition katika nyimbo za zamani kama ilivyo kwa sasa.
Nilipo sikiliza nyimbo za Dully nikapata sauti za warembo wengine katika Nyimbo za Nyambizi na Sharifa. Humo kuna wadada wanatia maneno kukoleza stori ambayo Dully anaelezea kama ilivyokua kwa nyimbo zake nyingi za zamani. Sasa Naomba kujua hao mabinti akina nani na wako wapi kwa sasa?
Pia kama kuna nyimbo ina sauti ya mtu ambaye watu hawajui ni sauti ya nani tafadhali tupia hapa tujue.
Wimbo hauitwi Sharifa bali unaitwa Historia ya Kweli.
Msichana aliyeimba kama Sharifa pia ni Queen Darleen.
Inaelekea huyu binti alikuwa mchango mkubwa wakati mziki wa Bongo unakua
Huyu ndo alikuw demu wa wasanii.Q.Darleen alikuwa analala studio watu walikuw wanajipigia tu km mpira.Wimbo hauitwi Sharifa bali unaitwa Historia ya Kweli.
Msichana aliyeimba kama Sharifa pia ni Queen Darleen.
Zaid ya yote ni ajuza pia
Yule mtoto kaadopt au
duhHuyu ndo alikuw demu wa wasanii.Q.Darleen alikuwa analala studio watu walikuw wanajipigia tu km mpira.
Gea Habibu yule mwanamke kuongea tu yuko vile huko kitandani si ndio atakuwa anatoa sauti za kimahaba na kusutwa juuI hear Geah Habib if not Husna Abdul, mmoja wao hapo, ana sauti zake pia kwenye ngoma kibao. Kama ya Profesa zari la mentali!
Haha! Napenda unavyofikiria.Gea Habibu yule mwanamke kuongea tu yuko vile huko kitandani si ndio atakuwa anatoa sauti za kimahaba na kusutwa juu