Mabinti walioweka sauti kwenye nyimbo za Nyambizi na Sharifa za Duly Sykes ni wakina nani?

Justine Marack

JF-Expert Member
Jul 31, 2014
534
1,470
Binafsi ni Juzi tu mwezi Juni ndipo nilipofahamu kuwa Dem aliyeimba au kutia sauti katika Mtoto wa Geti kali ya Inspector Haroun alikuwa ni Queen Darleen. Hii ni baada ya Babu kueleza hivyo katika kituo kimoja cha Radio. Hawa mabinti walikuwa hawapewi credit au recognition katika nyimbo za zamani kama ilivyo kwa sasa.

Niliposikiliza nyimbo za Dully nikapata sauti za warembo wengine katika nyimbo za Nyambizi na Sharifa. Humo kuna wadada wanatia maneno kukoleza stori ambayo Dully anaelezea kama ilivyokuwa kwa nyimbo zake nyingi za zamani.

Sasa Naomba kujua hao mabinti akina nani na wako wapi kwa sasa?

Pia kama kuna nyimbo ina sauti ya mtu ambaye watu hawajui ni sauti ya nani tafadhali tupia hapa tujue.
 
Binafsi ni Juzi tu Mwezi Juni ndipo nilipo faham kuwa Dem aliye imba au kutia sauti Katika Mtoto wa Gtei kali ya Inspector Haroun Alikua ni Queen Darleen. hii ni baada ya Babu kueleza hivyo katika kituo kimoja cha Radio. Hawa mabinti walikua hawapewi credit au recognition katika nyimbo za zamani kama ilivyo kwa sasa.
Nilipo sikiliza nyimbo za Dully nikapata sauti za warembo wengine katika Nyimbo za Nyambizi na Sharifa. Humo kuna wadada wanatia maneno kukoleza stori ambayo Dully anaelezea kama ilivyokua kwa nyimbo zake nyingi za zamani. Sasa Naomba kujua hao mabinti akina nani na wako wapi kwa sasa?
Pia kama kuna nyimbo ina sauti ya mtu ambaye watu hawajui ni sauti ya nani tafadhali tupia hapa tujue.

"......wimbo una sauti...." na sio "...nyimbo ina sauti....." kama ulivyoandika hapo.
Hebu acheni kuharibu lugha yetu adhimu ya Kiswahili.
 
I hear Geah Habib if not Husna Abdul, mmoja wao hapo, ana sauti zake pia kwenye ngoma kibao. Kama ya Profesa zari la mentali!
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom