Umemkuta kapendeza ndio maana ukampenda,
Hapo hela ilitumika,hujui alitetitoa,
Kumbe unataka umtumie alafu akutunzie nani?
Hapo unatakiwa umpendezeshe zaidi ya hapo,na game utapewa bila hata kuomba!
Kwenye upenzi tu bahili hivyo,ukimuoa na kumzoea je,c hata salun atapasikia tu!
Acha ubahili fahari ya mwanamke ni kupendezeshwa na mpenziwe km hujui!