Alikuwa anakucheki wewe ka bahili, ila kafanikiwa kujua wewe kimeo huna moyo wa kutoaHabari
sina mengi ya kuongea ila kuna jambo moja huwa naliona kwa baadhi ya mabinti na binafsi naona kama ulimbukeni au ushamba fulani pale unapompeleka lunch sehemu zile kubwa kubwa.
Kuna tabia ya baadhi yao kuagiza vitu asivyoweza kutumia au asivyoweza kumaliza.
Kuna mmoja leo kanikera sana nimemuita maeneo fulani kaanglia menu kisha akaagiza leta hiki leta kile mara kile.
basi mzee mazaga zaga yote kaletewa kwa meza harafu kagusa guza tu kajifanya kushiba kumbuka hapo imeungua 100k kasoro.
Nikasema isiwe noma kaagiza maji na eneo lile maji makubwa ya kilimanjaro yanauzwa 5k kaonja tu kayaacha tukaondoka.
Kwa kweli wale wenye tabia hii iacheni mara moja usawa huu wa mjomba Magu agiza vile unavyoweza kumaliza na sio kuagiza usivyovijua wala kuvimaliza.
Huu ni ushamba na ulimbukeni badilikeni.
Sasa kwanini usimkataze palepale,kosa ni lako wewe mwenyewe,wewe ndio mwanaume halafu hela unatoa wewe,kwanini usimwambie ukweli,no hiyo usiagize,hiyo acha sina hela leo,acha ushamba wako wa kuagiza vitu kwa fujo,acha ulafi wako n.k.,haya ndio maneno uliopasawa kumwambia ila angekuwa mkeo ungetoa mpaka na matusi na kashfa juu,possibly huyo alikuwa ni girlfriend....Habari
sina mengi ya kuongea ila kuna jambo moja huwa naliona kwa baadhi ya mabinti na binafsi naona kama ulimbukeni au ushamba fulani pale unapompeleka lunch sehemu zile kubwa kubwa.
Kuna tabia ya baadhi yao kuagiza vitu asivyoweza kutumia au asivyoweza kumaliza.
Kuna mmoja leo kanikera sana nimemuita maeneo fulani kaanglia menu kisha akaagiza leta hiki leta kile mara kile.
basi mzee mazaga zaga yote kaletewa kwa meza harafu kagusa guza tu kajifanya kushiba kumbuka hapo imeungua 100k kasoro.
Nikasema isiwe noma kaagiza maji na eneo lile maji makubwa ya kilimanjaro yanauzwa 5k kaonja tu kayaacha tukaondoka.
Kwa kweli wale wenye tabia hii iacheni mara moja usawa huu wa mjomba Magu agiza vile unavyoweza kumaliza na sio kuagiza usivyovijua wala kuvimaliza.
Huu ni ushamba na ulimbukeni badilikeni.
Umeshindwa nini kumwambia? Anawezaje kuagiza vitu kibao na asivile? Mimi navyojua ukitoka na mtu mara nyingi nmakula chakula sawa.kama mmeshiba mnaweza kuagiza vinywaji kiasi.Tatizo sio bei tatizo ni kuagiza usivyoviweza.
Mkuu unaitisha foil unafunga,
Unamwingza lodge unampiga show mpaka apate njaa
Atakula vya kwenye foil
Mi nilifikiri ushamba wa kutokujua kutumiayani kipi kinashikwa mkono gani...kumbe ni chakula!!
Acha uchoyo uingie mbinguni Chief
ila inatia hasira sana mtu kufanya vitu kwa kukomoapole
Hivi mdada unaanzaje kugusa gusa chakula then uakiacheLabda niwe naumwa aise vinginevyo nitasafisha sahani yote wahudumu wanione nuksi
Mkuu unaitisha foil unafunga,
Unamwingza lodge unampiga show mpaka apate njaa
Atakula vya kwenye foil
Anatembezewa pipe mpka bonde la ufa litoe harufu ya nyama choma..😁😁Mkuu unaitisha foil unafunga,
Unamwingza lodge unampiga show mpaka apate njaa
Atakula vya kwenye foil
Anasinzia akizinduka tumbo linanguruma kwa njaa ataomba kula bila shurtiAnatembezewa pipe mpka bonde la ufa litoe harufu ya nyama choma..
Na wewe mkuu acha ushamba wa kuitaita mademu wasiojitambua na kuwapeleka sehemu zinazojitambua.Habari,
sina mengi ya kuongea ila kuna jambo moja huwa naliona kwa baadhi ya mabinti na binafsi naona kama ulimbukeni au ushamba fulani pale unapompeleka lunch sehemu zile kubwa kubwa.
Kuna tabia ya baadhi yao kuagiza vitu asivyoweza kutumia au asivyoweza kumaliza.
Kuna mmoja leo kanikera sana nimemuita maeneo fulani kaanglia menu kisha akaagiza leta hiki leta kile mara kile.
basi mzee mazaga zaga yote kaletewa kwa meza harafu kagusa guza tu kajifanya kushiba kumbuka hapo imeungua 100k kasoro.
Nikasema isiwe noma kaagiza maji na eneo lile maji makubwa ya kilimanjaro yanauzwa 5k kaonja tu kayaacha tukaondoka.
Kwa kweli wale wenye tabia hii iacheni mara moja usawa huu wa mjomba Magu agiza vile unavyoweza kumaliza na sio kuagiza usivyovijua wala kuvimaliza.
Huu ni ushamba na ulimbukeni badilikeni.
Nimejifunza kwa hiliNa wewe mkuu acha ushamba wa kuitaita mademu wasiojitambua na kuwapeleka sehemu zinazojitambua.
Watu kama hawa unawapeleka uchochoroni maji lita 1 bei ikizidi buku jero, msosi ukizidi 5k. Acha aagize sasa kwa ushamba wake mpaka akome.