gabjhn
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 461
- 800
Wasikisute mkuu! Leo wamekataza kuitana boss. Next time maana umesema hotel kubwa kubwa akiagiza na un uwezo wa kulipa mkishashiba maana umesema hakumaliza. Mwite mihudumu mwambie akufungie namaanisha take away kwani lazima ujieleze chukulia kama unafuga mbwa nyumbani tu ukifika weka kwenye jokofu kesho unaamkia kijogoo! Walioenda jkt wanajua maana ya kijogoo. Case closed! Then ili kutorudia kosa mweleze mkikutana kuwa hupendi kuondoka na vyakula aagize anachokula na kumaliza. Kumwogopa mwenzio ni tabia za ki...... sorry! Uanaume ni kusimamia ukweli.