data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,151
- 22,726
Wanaume mpooo.... Kuna warembo wanajitahid kwa uwezo waliopewa na MUUMBA wao.. kuweka pozi nzuri,wanaonyesha vizuuri miili yao,sehemu zao ambao wao wanahisi zina mvuto.. ktk miili yao.. Jaman wanaume hawa watoto hawafanyi bure.. wanataka wanaume wawasifie na mwisho wa siku wawatongoze... na kama vip ............???? Sijui.. Tuwape MSAADA..