BJEVI
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 1,359
- 251
Benk ya uswissi imesema fedha za watz zilizokuwa zimewekwa ktk benk za nchi hiyo zimeongezeka kutoka usd 3.6 bill mpaka kufikia usd 5.4 bill kulingana na taarifa ya ndani ya mtandao wa reuters fedha hizo zimeongezeka ndani ya kipindi cha mwaka jana na mwaka huu.
January 11 mwaka huu balozi wa uswissi nchini tz aliliambia gazeti la mwananchi kuwa hakuna hatua zozote zilizochukuliwa na serikali ya tz kufuatilia fedha hizo.
Siku chache baada ya mazungumzo ya mwananchi na balozi wa uswissi,mwananchi ilimtafuta mwanasheria mkuu wa serikali ndg.werema ili kuzunguza jambo hilo na kujibu kuwa hawezi kuzunguza lolote kwani balozi huyo ni mtu mdogo kwake.
Source;mwananchi 27/09/2013.
my take;
mbona hakuna uwazi kwenye suala la fedha za uswissi? na kwa nini hili jambo ni kinyume na sifa anazopewa kikwete hususani kupitia kwa Rais obama kuwa ana serikali inayoendesha mambo kwa uwazi?.au ndo kusema watz tunaibiwa mchana kweupe?
January 11 mwaka huu balozi wa uswissi nchini tz aliliambia gazeti la mwananchi kuwa hakuna hatua zozote zilizochukuliwa na serikali ya tz kufuatilia fedha hizo.
Siku chache baada ya mazungumzo ya mwananchi na balozi wa uswissi,mwananchi ilimtafuta mwanasheria mkuu wa serikali ndg.werema ili kuzunguza jambo hilo na kujibu kuwa hawezi kuzunguza lolote kwani balozi huyo ni mtu mdogo kwake.
Source;mwananchi 27/09/2013.
my take;
mbona hakuna uwazi kwenye suala la fedha za uswissi? na kwa nini hili jambo ni kinyume na sifa anazopewa kikwete hususani kupitia kwa Rais obama kuwa ana serikali inayoendesha mambo kwa uwazi?.au ndo kusema watz tunaibiwa mchana kweupe?