Hivi karibuni serikali ya Sweden ilitoa mabilioni ya fedha kwa serikali ya Tz kwa ajili ya umeme vijijini lakini mpaka sasa ni kimya tu! Ukosefu wa fedha ndio chanzo cha maendeleo kukwama lakini fedha tunazo sasa. Mbona hakuna utekelezaji mpaka sasa! Hizo fedha ziko wapi?