Urassa sunday
Member
- Jan 30, 2020
- 28
- 123
Nauliza hivi yule aliyekuwa mtangazaji wa ITV "Superbrand Tv" yupo wapi? maana alikuwa maarufu sana kwenye kampeni za Mwaka 2015 akiwa anaripoti na kusafiri na msafara wa mgombea Urais wa Chadema enzi hizo Mh.Lowassa.
Nakumbuka kwa upande wa CCM kulikuwa na mhandishi anayeripoti kampeni za mgombea (JPM) ambaye alikuwa ni Emmanuel Buhohela. Sasa huyu Buhohela najua alikula shavu baada ya uchaguzi nasikia sijui ni Mkurugenzi wa Habari - Wizara ya mambo ya nje.
Swali langu ni je yu wapi Spencer Lameck? maana baada ya uchaguzi sikuwahi kumsikia na wala sijui alipo.
Uchaguzi wa safari hii, namuona Mabere Makubi kama Spencer Lameck Junior!
Nakumbuka kwa upande wa CCM kulikuwa na mhandishi anayeripoti kampeni za mgombea (JPM) ambaye alikuwa ni Emmanuel Buhohela. Sasa huyu Buhohela najua alikula shavu baada ya uchaguzi nasikia sijui ni Mkurugenzi wa Habari - Wizara ya mambo ya nje.
Swali langu ni je yu wapi Spencer Lameck? maana baada ya uchaguzi sikuwahi kumsikia na wala sijui alipo.
Uchaguzi wa safari hii, namuona Mabere Makubi kama Spencer Lameck Junior!