Mabeberu weusi wasusia mapokezi ya mwali wetu leo

Mabeberu weusi wasusia mapokezi ya mwali wetu leo

Boniphace Kichonge

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2017
Posts
1,605
Reaction score
1,957
Wadau, leo tena wale mabeberu wenye rangi nyeusi wamesusia sherehe iliyofana sana ya kumkaribisha mwali wetu.
Walizusha hapo awali kuwa eti Mwali Wetu ndiyo haji tena Nchini!

Ni aibu na fedheha kubwa sana kwao!
 
Mzee baba kununua ndege ni mpaka ufanye sherehe? Tutakuwa na sherehe nyingi sana kwa staili hii. Bora zibaki kuwa sherehe zisifike hatua ya kuwa sikukuu kitaifa.
 
Ushamba ... mkubwa..

Nasikia mtaenda UN mkaseme mna maendeleo kwa kununua ndege 8 cash kwa fedha za kukopa toka kwa mabeberu kisha mnadanganya raia eti ji fedha za ndani?
Wadau.
Leo Tena wale Mabeberu wenye rangi nyeusi wamesusia Tena Sherehe ya Leo iliyofana Sana ya kumkaribisha Mwali Wetu.

Ni aibu na fedhea kubwa Sana kwao!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanamuunga mkulu mkono kuwa; Fanyeni kazi. Wangeenda vipi Mza leo na J3 ni kazi??
 
Kusanya ndugu zako wote muende mkampokee mwali kama mabeberu weusi wamegoma.
Wadau, leo tena wale mabeberu wenye rangi nyeusi wamesusia sherehe iliyofana sana ya kumkaribisha mwali wetu.

Ni aibu na fedheha kubwa sana kwao!
 
Back
Top Bottom