Tukisema tuna viongozi wa hovyo mnasema tunatumika na mabeberu haya kunyweni hilo tope Uranium zipo chini!!!
Ya Tz ndo nzuri kuliko zote duniani.. Maana ina marashi ya karafuuKwanza uranium kwa sasa sio dili kiviile Tena hizi ni blah blah tu za wajukuu wa mzee wassira. Ingekuwa deal sana marekani asinge hangaika na uchumi wa mafuta. Nchi kama Germany baada ya kile kisanga walifikoria kuachana na miladi ya uranium
Na ingekuwa deal kubwa kama ambavyo uviccm wanataka kutuaminisha basi mabeberu wangekwisha weka kabisa kuchukua.
NAKUMBUSHA KUWA URANIUM HAIPATIKANI TZ TU
Achana na picha wengi bado wanakunywa maji machafu ya mito namifugo, kuoga nakufulia humo humoUSILETE PICHA MJONGEO ZA AKILI MNEMBA KUWAADAA WATANZANIA NDUGU
naweza kukubali kuto kukubaliana na wewe lakini tuangalie miaka 15 nyuma hali ya upatikanaji maji safi ilikuaje na sasa tuko wapi licha ya mabadiliko ya hali ya hewa na ongezeko kubwa la watuAchana na picha wengi bado wanakunywa maji machafu ya mito namifugo, kuoga nakufulia humo humo
Bado hali ni mbaya mwaka Jana nilikua huko moro Kijiji Fulani watu hawana maji , shule hawana umeme hawana Yani wanaishi maisha ya kishamba mno, ukiishi dar tu hauwezi kujua jinsi Gani watu wanaishi kifukara mnonaweza kukubali kuto kukubaliana na wewe lakini tuangalie miaka 15 nyuma hali ya upatikanaji maji safi ilikuaje na sasa tuko wapi licha ya mabadiliko ya hali ya hewa na ongezeko kubwa la watu
naweza kukubali kuto kukubaliana na wewe lakini tuangalie miaka 15 nyuma hali ya upatikanaji maji safi ilikuaje na sasa tuko wapi licha ya mabadiliko ya hali ya hewa na ongezeko kubwa la watu
acheni kukuza mamboNi aibu sana, bado nchi inaongelea upatikanaji wa maji ya kunywa. Ni aibu mno!!
kasi ya maendeleo vijijini had sasa ni yakuridhisha uzuri elimu inatolewa bure kote nchini hii itachagiza maendeleo hadi vijijini tuwape mudaBado hali ni mbaya mwaka Jana nilikua huko moro Kijiji Fulani watu hawana maji , shule hawana umeme hawana Yani wanaishi maisha ya kishamba mno, ukiishi dar tu hauwezi kujua jinsi Gani watu wanaishi kifukara mno
Muda Gani watu wanateseka huku pesa ikitumika kwenye mambo ya hovyo ya anasa? Miaka 60 unawapa mda upi Tena?kasi ya maendeleo vijijini had sasa ni yakuridhisha uzuri elimu inatolewa bure kote nchini hii itachagiza maendeleo hadi vijijini tuwape muda
Na hiyo ni taarifa ya A.I