Mabati for sale

Mabati for sale

Nimeona boss hayo mabati yapo bei 12500 kwamita na kwa pc bei 36000, karibu sana idadi yoyote utapata

Hivi umeyaelewa haya mabati kwenye hiyo picha?? Hizo ni bati vigae zenye chenga na zenye upana wa 1.5m na urefu ni 1.2ft. Sasa sijakuelewa unaposema 36000 kwa pc na 12500 kwa mita. Hebu fafanua.
 
Nahitaji msouth bati 190 migongo mipana rangi ya deep blue or dark red,,tuwasiliane maana maelezo yako pia hayatosherezi
 
Nahitaji msouth bati 190 migongo mipana rangi ya deep blue or dark red,,tuwasiliane maana maelezo yako pia hayatosherezi

Bro uko pande zipi?dark bluu hizo unazotaka zipo ! Kesho nitaweka picha!
 
Migongo mikubwa I.T 5/4 bei 24000geji30/27000 geji28, migongo midogo ya rangi geji30 bei 22000/geji28 bei 25000, bandle bati za kawaida bei ni 245,000. Karibuni wateja

Hayo ya kawaida yanakuwa mangapi kwenye bundle? Hiyo bei ya mabati ya kawaida ni kwa mabati ya geji ngapi?, ni ya kiwanda gani?
 
Hayo ya kawaida yanakuwa mangapi kwenye bundle? Hiyo bei ya mabati ya kawaida ni kwa mabati ya geji ngapi?, ni ya kiwanda gani?
Kwenye bandle kuna mabati 16 yenye geji 30 na kuna bandle mabati 12 yenye geji 28. Kiwanada cha simba au kiboko
 
Hivi umeyaelewa haya mabati kwenye hiyo picha?? Hizo ni bati vigae zenye chenga na zenye upana wa 1.5m na urefu ni 1.2ft. Sasa sijakuelewa unaposema 36000 kwa pc na 12500 kwa mita. Hebu fafanua.
Okay nimeshazielewa boss hizo kila pc ni 15,000
 
Kwenye bandle kuna mabati 16 yenye geji 30 na kuna bandle mabati 12 yenye geji 28. Kiwanada cha simba au kiboko
So hiyo sio bei ya jumla?, maana bei za uswahili ni 16000 na wewe unauza kama 15300, anyway ni biashara una reject pia?
 
Migongo mikubwa I.T 5/4 bei 24000geji30/27000 geji28, migongo midogo ya rangi geji30 bei 22000/geji28 bei 25000, bandle bati za kawaida bei ni 245,000. Karibuni wateja

Andika vizuri mkuu, unaandika utafikiri ulikuwa unagombea usafiri wa daladala la mbagala!
 
Hivi umeyaelewa haya mabati kwenye hiyo picha?? Hizo ni bati vigae zenye chenga na zenye upana wa 1.5m na urefu ni 1.2ft. Sasa sijakuelewa unaposema 36000 kwa pc na 12500 kwa mita. Hebu fafanua.

Dah, bora umenisaidia mimi pia sijamuelewa, hizo mita katoa wapi? Atuelezee vizuri
 
So nyie dealer wa kiwanda gani au wafanyabiashara tu
 
Kwenye bandle kuna mabati 16 yenye geji 30 na kuna bandle mabati 12 yenye geji 28. Kiwanada cha simba au kiboko

Hapa kuna taarifa muhimu hujaweka, ni mabati ya futi ngapi?

pia mwenye uelewa asaidie, kunabati ngapi kwenye bandle ya bati geji 30 kwa futi 8 ?
 
Kwa wale wa mwanza nitafuteni nitafanya nanyi biashara kwa bei nzuri,bati zinatoka India zinaitwa TATA ni zile za mingongo mipana geji 30 rangi ni bluu,niweka picha kesho,bei 32000 kwa pc haipungui,na sio fake unaziona kwanza ukiridhika poua tunafanya biashara, ni pm kwa atakae hitaji !

Samahani naomba kujua hiI TATA upana na marefu ni kiasi gani?
 
Hapa kuna taarifa muhimu hujaweka, ni mabati ya futi ngapi?

pia mwenye uelewa asaidie, kunabati ngapi kwenye bandle ya bati geji 30 kwa futi 8 ?
Kwenye bandle lenye futi 8 yanakuwepo mabati 19, yenye futi 10 ndio yanakuwepo 16, karibuni sana wateja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom