Hess
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 593
- 675
Nimeona boss hayo mabati yapo bei 12500 kwamita na kwa pc bei 36000, karibu sana idadi yoyote utapata
Hivi umeyaelewa haya mabati kwenye hiyo picha?? Hizo ni bati vigae zenye chenga na zenye upana wa 1.5m na urefu ni 1.2ft. Sasa sijakuelewa unaposema 36000 kwa pc na 12500 kwa mita. Hebu fafanua.