Kama ana pressure ya up and down asipande KISBO tafadhali.Asante
Hila huwa yanatoboa kwa nadra sana kulala njiani ni jambo la kawaida sana ila kitu KISBO na JM hao kulala njiani kwao mwiko1.Kisesa (mpya-moto wa kuotea mbali)
2.Dar lux
Nb: haya ni mabasi.mengine ni usafiri tu
Wakati wa kurudi apande Muro,baada ya hapo hatarudia tena kusafiri.panda muhamedi trans
Ya hii ni Scania mupya kabisaHakuna kama Nyegezi luxury!